Tanzania Prisons yajipanga upya | Mwanaspoti

KOCHA wa Tanzania Prisons, Amani Josiah amesema mapumziko ya wiki mbili aliyotoa kwa wachezaji anaamini yatawajenga na kupata nguvu mpya ya kufanya vizuri katika mechi mbili zilizosalia ikiwamo ile ya nyumbani dhidi ya Yanga. Baada ya ushindi wa mabao 2-1 ilioupata mechi ya mwisho dhidi ya Coastal Union, wachezaji wa Prisons walipewa mapumziko na wanatarajia…

Read More

Google Veo 3 yatajwa kupindua tasnia ya filamu duniani

Dar es Salaam. Teknolojia ya Akili Mnemba inayotengeneza maudhui ya picha na video inazidi kushika kasi, baada ya kampuni ya Google kuja na toleo la programu (Generative AI) ya VEO 3 inayoweza kutengeneza video zenye sauti, mandhari, pamoja na mazungumzo ya wahusika. Awali, wakati wa kuanza kwa Akili Mnemba, sehemu kubwa iliweza kutengeneza picha kisha…

Read More

Kilichoiangusha Tabora United hiki hapa

KICHAPO cha bao 1-0, ilichokipata Tabora United dhidi ya KMC FC, Mei 14, 2025, kimeifanya timu hiyo kufikisha mechi sita mfululizo za Ligi Kuu bila ya ushindi, tangu mara ya mwisho ilipoifunga Dodoma Jiji FC 1-0, nyumbani, Februari 28, 2025. Timu hiyo inayofahamika kwa jina la utani la ‘Nyuki wa Tabora’, ilianza msimu vizuri lakini…

Read More

Waliohukumiwa jela maisha kwa ubakaji, washinda rufaa

Arusha. Mahakama ya Rufaa imebatilisha na kufuta adhabu ya kifungo cha maisha jela waliyokuwa wamehukumiwa Juma Mayala na Khamis Abdallah, baada ya kukutwa na hatia ya ubakaji wa genge. Aidha Mahakama hiyo imebatilisha na kufuta adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha waliyokuwa wamehukumiwa Goodluck Faustine na Mnanka…

Read More

Mikoa hii ijipange kwa baridi Juni hadi Agosti

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kuanzia Juni hadi Agosti, 2025 kutakuwa na baridi kali na ya wastani katika mikoa sita nchini. Pia, maeneo mbalimbali nchini yatashuhudia joto, mvua zisizotabirika na kipupwe, huku athari ikitajwa kuwa ni magonjwa yanayohusiana na hali ya hewa ya baridi kama vile homa ya mapafu…

Read More

Mwanaharakati wa Kenya Boniface Mwangi aachiwa huru Tanzania

Nairobi. Mwanaharakati, Boniface Mwangi aliyekuwa anadaiwa kuwekwa kizuizini nchini Tanzania  amepatikana eneo la Ukunda, Kwale nchini Kenya. Awali, Mwangi na wanaharakati wenzake akiwemo Martha Karua walisafiri kutoka nchini Kenya hadi Tanzania kuhudhuria usikilizwaji wa kesi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu katika mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Hata…

Read More

Kilio wananchi, madereva kero ya foleni Dar

Dar es Salaam. Ukiacha wingi wa mishemishe, starehe, biashara na vituko vinavyotokana na idadi kubwa ya watu katika Jiji la Dar es Salaam, msongamano wa magari barabarani ni moja ya karaha yenye maumivu yanayogusa sekta nyingi. Mbali na kuwa kikwazo cha kuwahi kazini, msongamano wa magari unadhoofisha uzalishaji wa nchi, unaongeza gharama za usafiri na…

Read More

Janga la foleni Dar | Mwananchi

Dar es Salaam. Ukiacha wingi wa mishemishe, starehe, biashara na vituko vinavyotokana na idadi kubwa ya watu katika Jiji la Dar es Salaam, msongamano wa magari barabarani ni moja ya karaha yenye maumivu yanayogusa sekta nyingi. Mbali na kuwa kikwazo cha kuwahi kazini, msongamano wa magari unadhoofisha uzalishaji wa nchi, unaongeza gharama za usafiri na…

Read More