Simba, Yanga kwenye ligi ya hat trick

LIGI Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025, inaenda ukingoni ambapo hadi sasa zimefungwa hat trick nne kutoka kwa wachezaji wa Simba na Yanga kila mmoja wao, ingawa nyota wa timu hizo wamekuwa ni moto wa kuotea mbali kwa wapinzani. Kwa misimu minne mfululizo kuanzia msimu wa 2021-2022 hadi sasa nyota wa timu hizo ndio wanaoongoza…

Read More

Waarabu waongeza mzigo kwa Mzize, dili lipo hivi

UKIONDOA jina la kiungo Stephanie Aziz KI aliyeuzwa Morocco, staa atakayefuata sasa ni straika Clement Mzize aliyebakiza wiki moja tu kuuzwa moja ya nchi ya Afrika Kaskazini baada ofa mbili kubwa kutua klabuni hapo kwa Waarabu kuongeza dau ili kumng’oa Yanga. Mzize anayemiliki mabao 13 na asisti tatu katika Ligi Kuu Bara kwa sasa amekuwa…

Read More

Benki ya Exim Yatangaza Mshindi wa Kampeni ya ‘UEFA Priceless’ Kupitia Exim Mastercard

Benki ya Exim, kwa kushirikiana na mshirika wake wa kimataifa, MasterCard, imekabidhi rasmi zawadi kwa mshindi wa kampeni ya “UEFA Priceless”, Bi. Manjeet Kaur Mair, katika tukio maalum lililofanyika jijini Dar es Salaam. Bi. Mair alijishindia zawadi hiyo kupitia matumizi ya kadi ya Exim MasterCard (Debit), ambapo alifanya miamala mingi zaidi katika kipindi cha kampeni,…

Read More

Jamii Yaaswa Kujenga Utamaduni wa Kupima Afya ya Moyo

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv JAMII imehaswa kuwa na utamaduni wa kupima afya mara kwa mara afya ya moyo ikiwa ni hatua muhimu ya kugundua magonjwa mapema na kupunguza gharama za matibabu. Wito huo umetolewa leo Mei 21,2025 na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Profesa Appolinary Kamuhabwa wakati…

Read More

KAILIMA – INEC HAITAONGEZA SIKU ZA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA, KESHO MEI 22 NI MWISHO, ATAKA WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. KURUGENZI wa Uchaguzi, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima, amewataka Watanzania kuitumia siku ya kesho Mei 22, 2025 ambayo ni ya mwisho kujiandikisha katika vituo mbalimbali vya wapiga kura ili waweze kupata haki zao za kupiga kura katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu 2025. Kailima ameyasema…

Read More