Viwanda vipya vinane vya asali kujengwa nchini

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imejipanga kujenga viwanda vipya vinane vya kuchakata na kuongeza thamani kwenye mazao ya nyuki, ikiwemo asali na nta kwenye maeneo mbalimbali nchini. Amesema hatua hiyo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuimarisha sekta ya ufugaji nyuki kwa kuongeza thamani ya mazao yake, kuinua kipato cha wafugaji…

Read More

Kikwete alivyofanikisha ushindi wa Profesa Janabi WHO

Dar es Salaam. Ushindi wa Profesa Mohamed Janabi katika kinyang’anyiro cha nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, si tu umeandika historia mpya kwa Tanzania, bali pia umefungua ukurasa mpya wa mafanikio ya taifa katika majukwaa ya kimataifa. Katika ushindi huu wa kishindo, yapo mafumbo ya uongozi, diplomasia na mshikamano…

Read More

Rais Samia kuzindua Daraja la JP Magufuli Juni 19

Mwanza. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kulizindua rasmi Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) jijini Mwanza, Juni 19, 2025. Waziri Ulega ameyasema hayo jana Jumatatu, Mei 19, 2025 katika mkutano wa hadhara wilayani Sengerema mkoani Mwanza ambao ulikuwa wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Amewataka wananchi wa Mwanza kujitokeza kwa wingi…

Read More

Chaumma kinavyoibuka mbavuni mwa Chadema, wadau wafunguka

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kupata wanachama na uongozi mpya unaojumuisha waliokuwa makada wa Chadema na wanamuungano wa G55, wadau wa siasa wamesema hatua hiyo itaongeza ushindani katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na kuchochea maendeleo ya demokrasia. Jana Jumatatu, Mei 19, 2025, kwenye mkutano wa…

Read More

Chaumma wagonganisha wadau | Mwananchi

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kupata wanachama na uongozi mpya unaojumuisha waliokuwa makada wa Chadema na wanamuungano wa G55, wadau wa siasa wamesema hatua hiyo itaongeza ushindani katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na kuchochea maendeleo ya demokrasia. Jana Jumatatu, Mei 19, 2025, kwenye mkutano wa…

Read More

JKT Queens yaivua Simba Queens ubingwa WPL

JKT Queens imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Soka Wanawake (WPL) msimu huu wa 2024/2025 baada ya leo Mei 20,2025 kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Gets Program. Ushindi huo umeifanya JKT Queens kumaliza msimu na pointi 47 sawa na Simba Queens lakini zikitofautiana mabao ya kufunga na kufungwa. Katika mchezo huo, JKT…

Read More

Mpanda kicheko, umeme gridi ya Taifa kuwafikia Juni

Tabora. Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Kusafirisha na Kusambaza Umeme (ETDCO), Raymond Mbilinyi amesema mpaka kufikia mwisho mwa Juni mwaka huu, umeme kutoka kwenye gridi ya Taifa utakuwa umefika wilayani Mpanda, Mkoa wa Katavi. Akizungumza akiwa mkoani Tabora leo Jumanne Mei 20, 2025 wakati wa ziara…

Read More