CWT KUCHAGUANA MEI 29

   Suleiman Mathew Ikomba, Makamu wa rais wa CWT ambaye anagombea U rais wa chama hicho kwa sasa Joseph Masolwa Misalaba, Kaimu katibu mkuu na Mgombea wa ukatibu mkuu Nashon Amos Kidudu, Kaimu mweka hazina na mgombea wa nafasi hiyo tena …………  Na. Mwandishi wetu, Chama cha walimu Tanzania (CWT) kimetangaza kufanyika kwa mkutano mkuu…

Read More

Misaada ya kuokoa maisha ya UN inaruhusiwa kuteleza ndani ya Gaza kama inavyohitaji kuongezeka-maswala ya ulimwengu

Alisisitiza kwamba msaada lazima uwasilishwe haraka na moja kwa moja kwa wale wanaohitaji sana. Aliwaambia waandishi wa habari huko New York kuwa watu wa UN wa kibinadamu walikuwa wakipeleka unga, dawa, vifaa vya lishe na vitu vingine vya msingi kupitia upande wa Palestina wa kuvuka kwa Kerem Shalom – siku moja baada ya kufanikiwa kuleta…

Read More

ACT-Wazalendo Shinyanga mguu sawa uchaguzi mkuu

Shinyanga. Ofisa wa oganizesheni mafunzo na uchaguzi kutoka Chama cha ACT Wazalendo Taifa,  Risasi Semasaba amesema kuwa katika Mkoa wa Shinyanga kuna wanachama wanane waliochukua fomu za kutia nia ya ubunge na jimbo la Shinyanga mjini limekuwa na watia nia wengi. Akizungumza leo Mei 21, 2025 katika hafla fupi ya kufungua uchukuaji fomu za kutia…

Read More

Watanzania kushirikishwa mageuzi ya teknolojia

Dar es Salaam. Ili kuendana na mageuzi ya teknolojia hasa ya vifaa vya kisasa vya kielektroniki wadau sekta hiyo wamewahakikishia Watanzania kwa kutoa bidhaa salama, zenye ubora wa hali ya juu na ubunifu wa kisasa. Katika kuhakikisha hilo kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya umeme wa majumbani ya Hisense imezindua rasmi luninga ya kisasa yenye…

Read More