Luhemeja atoa wito utunzaji mazingira, kuchangamkia fursa

Dodoma. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Cyprian Luhemeja amesema mazingira ni suala mtambuka, hivyo amewashauri mabalozi wa mazingira kutumia fursa zilizopo kupanua wigo wa kushiriki kuyatunza na kuchangamkia fursa zilizopo. Taarifa ya ofisi hiyo kwa umma imesema Luhemeja ameyasema hayo jana Jumanne, Mei 20, 2025 jijini Dodoma alipokutana na kufanya…

Read More

Fyatu mfyatuzi sasa kugombea urahis mwaka huu wa uchaguzi

Wapendwa mafyatu wangu. Leo, rasmi nafyatua kitu. Natangaza rasmi kuwa nitakuwa kwenye debe. Naazimia kuibadili kaya kwa kufanya yafuatayo: Mosi, nitabadili jina la kaya. Itaitwa Fyatuland na wananchi wake wataitwa mafyatu. Hivyo, kuanzia siku nitakapoapishwa kila kitu kitabeba jina langu. Sitakuwa wa kwanza kufanya hivi. Nenda kaulize kule Saudia. Imetokana na jina la fyatu Saudi…

Read More

Umuhimu wa mabadiliko madogo ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu

Katika mjadala wa kisiasa wa sasa nchini Tanzania, dhana ya “mabadiliko madogo ya Katiba,” imezua mjadala mkubwa, hasa baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuibua kauli mbiu ya No Reforms, No Election (NRNE). Katika kampeni hiyo, chama hicho kikuu cha upinzani nchini, bado kimeendelea kusisitiza kuwa kama Serikali haitakubali kufanya marekebisho ya msingi…

Read More

Equity Bank Yafungua Milango ya Uwekezaji Zanzibar

Zanzibar imechukua hatua madhubuti katika kujenga mazingira bora ya uwekezaji wa kimataifa kupitia uchumi wa buluu, huku Equity Bank Tanzania ikijitokeza kama daraja muhimu kati ya visiwa hivyo na jumuiya ya wawekezaji wa ndani na nje ya nchi. Hii ni sehemu ya jitihada za kuifanya Zanzibar kuwa kitovu cha biashara na maendeleo endelevu. Katika Jukwaa…

Read More

Watanzania Tuendelee Kumtunza Mdudu Nyuki – Global Publishers

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuendelea kumtunza na kumuhifadhi nyuki ili kuwa na Taifa lenye uhakika wa chakula na uchumi ulio imara kwa kuwa takribani asilimia 80 ya mimea ya chakula inayozalishwa duniani huchavushwa na nyuki. Pia, Waziri Mkuu amezindua mpango kabambe utakaoleta mageuzi makubwa ya sekta ya ufugaji nyuki nchini, unaojulikana kama Mpango…

Read More

Tanzania, Namibia zalenga kukuza biashara, ajira

Dar es Salaam. Tanzania na Namibia zimekubaliana kukuza ushirikiano wa kibiashara baina yao ambao bado uko chini licha ya kwamba umeongezeka thamani katika miaka ya karibuni. Mbali na ushirikiano katika biashara, uhusiano huo pia utajikita katika sekta muhimu ikiwemo uchumi wa buluu ambao Namibia inafanya vizuri pamoja na sekta za gesi na mafuta. Hayo yamebainishawa…

Read More

‘Weka taa kwenye’ kwa wanawake na wasichana waliopata shida – maswala ya ulimwengu

Chombo cha afya cha uzazi cha UN, UNFPAamekuwa akifanya kazi kutathmini athari za kupunguzwa kwa kasi kwa fedha, na kuonya kwamba kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwenda Haiti, Sudan na zaidi, ukosefu wa fedha za utunzaji wa uzazi au matibabu kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia, husababisha mateso yasiyokuwa na ukweli. Mamilioni yao tayari wanakabiliwa…

Read More