Rais Samia afanya uteuzi, amgusa Profesa Nagu, Mbungo

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akimteua Profesa Tumaini Nagu kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), anayeshughulikia masuala ya afya. Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatatu Mei 19, 2025, na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka na kusainiwa na Mkurugenzi wa…

Read More

Winga Mbongo atambulishwa Ujerumani | Mwanaspoti

WINGA wa Kitanzania, Emma Lattus ametambulishwa kwenye kikosi cha timu ya Borussia Monchengladbach inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Ujerumani akitokea FC Koln 2. Mwanadada huyo anakuwa Mtanzania wa kwanza kuitumikia ligi ya Ujerumani kwa upande wa wanawake. Licha ya nyota huyo (18) mwenye asili ya nchi mbili, Tanzania na Ujerumani, klabu hiyo inamtambua kama Mtanzania….

Read More

Alliance v Ceasiaa vita ya ‘Top 5’ WPL

ACHANA na vita ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake kati ya JKT Queens na Simba Queens, kuna mchuano mwingine mkali wa kuwania nafasi ya tano kati ya Alliance Girls na Ceasiaa Queens. Hadi sasa nafasi ya tatu ambayo iko Yanga Princess na nne Mashujaa Queens zimejihakikishia nafasi hizo kutokana na pointi zao haziwezi kufikiwa…

Read More

Simba Queens yaanza na straika

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake, Simba Queens wameanza kumfuatilia mshambuliaji wa CBE na timu ya taifa ya Ethiopia, Senaf Wakuma. Inaelezwa timu hiyo wakati wa usajili itapitisha fagio kwa wachezaji takribani saba ikiwemo eneo la ushambuliaji ili kusajili nyota wapya. Hata hivyo, kocha wa timu hiyo, Yussif Basigi inaelezwa pia hatakuwa sehemu ya…

Read More

Rekodi ya Aisha Masaka pasua kichwa WPL

IMEPITA miaka minne sasa bila rekodi ya Aisha Masaka aliyetimkia Brighton & Hove Albion kuvunjwa katika Ligi Kuu Wanawake ya kufunga mabao mengi. Msimu 2020/21 Masaka aliibuka mfungaji bora wa WPL akiweka kambani mabao 35 akiwa mzawa wa mwisho kufunga mabao hayo. Tangu hapo msimu uliofuata Mrundi wa Simba Queens, Asha Djafar alifunga mabao 27,…

Read More

IPTL yakwaa kisiki kesi ya kuidai Serikali mabilioni

Dar es Salaam. Kampuni ya kufua umeme wa mafuta, Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imekwama kwenye kesi iliyotaka kufungua dhidi ya Serikali baada ya Mahakama Kuu kuikataa. Kampuni hiyo ilifungua kesi ya madai dhidi ya Serikali kupitia Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, ikipinga mkataba wa makubaliano ya kumaliza…

Read More

Viwanja vitano kufanyiwa ukarabati kuelekea AFCON 2027

Serikali imethibitisha rasmi mpango wa kujenga na kukarabati viwanja mbalimbali vya michezo nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuandaa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027, pamoja na juhudi za kuendeleza sekta ya michezo nchini. Kauli hiyo imetolewa leo bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro,…

Read More

Viwanja vitano kufanyiwa ukarabati kuelekea AFCON 2017

Serikali imethibitisha rasmi mpango wa kujenga na kukarabati viwanja mbalimbali vya michezo nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuandaa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027, pamoja na juhudi za kuendeleza sekta ya michezo nchini. Kauli hiyo imetolewa leo bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro,…

Read More

Mkutano mkuu Chaumma na sura za G55

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma),  kinafanya vikao viwili cha kamati kuu na halmashauri kuu, ambapo mbali ya kuhudhuriwa na makada wa chama hicho, wapo pia waliojiengua Chadema. Mwananchi Digital ilipofika katika eneo vinakofanyika vikao hivyo, mbali na wajumbe waliovalia sare za Chaumma, katika kikao hicho, wameshuhudiwa baadhi ya waliokuwa makamanda wa…

Read More