MHE. NYONGO AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA NCHINI UBELIGIJI
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Stanslaus Nyongo amewasili nchini Ubeligiji kuongoza ujumbe wa Tanzania katika Kongamano la Bajeti la Umoja wa Ulaya linalofanyika mjini Brussels nchini Ubeligiji kuanzia tarehe 20 hadi 21 Mei, 2025. Tanzania imealikwa katika kongamano hili kama nchi pekee kutoka Afrika kushiriki katika kongamano hili kutokana…