Mshahara mpya wa Azizi Ki kufuru tupu

DILI la kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI, kwenda Wydad Casablanca ya Morocco, limezidi kuutunisha mfuko wake kutokana na kile ambacho atakuwa akilipwa kwa mwezi. Nyota huyo raia wa Burkina Faso, anakwenda kujiunga na Wydad baada ya kukitumikia kikosi cha Yanga kwa mafanikio makubwa katika misimu mitatu, tangu Julai 15, 2022. Kitendo cha Aziz…

Read More

WATANZANIA TUENDELEE KUMTUNZA MDUDU NYUKI

…………….. _▪️Asema lengo ni kuwa na Taifa lenye uhakika wa chakula na uchumi imara_ _▪️Azindua mpango wa kuendeleza sekta ya ufugaji nyuki kwa Tanzania iliyo bora_ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuendelea kumtunza na kumuhifadhi nyuki ili kuwa na Taifa lenye uhakika wa chakula na uchumi ulio imara kwa kuwa takribani asilimia 80 ya…

Read More

Asukile atoa matumaini Tanzania Prisons

STAA wa zamani wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amesema pamoja na presha iliyopo kukwepa kushuka daraja, lakini upo uwezekano wa kubaki salama Ligi Kuu kwa timu hiyo msimu ujao. Kwa sasa timu hiyo ipo nafasi ya 13 na pointi 30, imebakiwa na mechi mbili dhidi ya Yanga, Juni 18 mwaka huu (nyumbani) kisha kumalizia msimu…

Read More

Madeleka naye atimkia ACT – Wazalendo, aeleza mwelekeo

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo-Bara, Isihaka Mchinjita amemtangaza Wakili Peter Madeleka kuwa mwanachama mpya aliyejiunga na chama hicho akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Madeleka tayari amekabidhiwa kadi ya uanachama wa chama hicho pamoja na katiba ikiwa ni ishara ya kuwa mwanachama wa chama hicho. Tukio hilo limefanyika jijini…

Read More

Waziri Tax awajibu wabunge ajira JWTZ

Dodoma. Sakata la ajira ndani ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limechukua sura mpya baada ya Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Stergomena Tax kusema jeshi hilo, kwa mujibu wa Katiba: “Hupokea amri kutoka kwa Amiri Jeshi Mkuu na si vinginevyo.” Waziri Tax amesema hayo ikiwa ni takribani…

Read More