Historia ya kuvutia maeneo ya Jiji la Tanga

Tanga. Unapotaja maeneo ya kihistoria nchini, huwezi kuliweka kando Jiji la Tanga, kama eneo maarufu na muhimu katika Mkoa wa Tanga. Nje ya historia ya mkoa, maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Tanga yana simulizi za kuvutia kwa anayezisoma au kusikiliza. Mwananchi Digital tunakunyofolea baadhi ya maeneo na kukupa kwa ufupi simulizi zake, kama ilivyodokezwa…

Read More

MAFUNZO YA WATAALAMU WA AFYA YA MIFUGO KIMATAIFA YAZINDULIWA

Na Mwandishi wetu Serikali imezindua rasmi mradi wa mafunzo ya kimataifa kwa wataalamu wa afya ya mifugo, yanayofanyika katika nchi nne za Tanzania, Botswana, Zambia na Malawi. Mafunzo hayo yameandaliwa kupitia mradi wa EDVET unaosimamiwa na Shirika la MIOUT, kwa kushirikiana na wataalamu kutoka Hungary, Finland na Slovakia. Akizungumza leo wakati wa uzinduzi wa mafunzo…

Read More

Pandya arudi mbio za magari

BINGWA wa zamani wa mbio za magari nchini, Dharam Pandya ametangaza rasmi kurudi mchezoni na atakuwa mmoja wa washiriki katika mbio za ufunguzi wa msimu mkoani Iringa mwishoni mwa juma. Yakijulikana kama Mkwawa Rally of Iringa, mashindano haya ya siku mbili yatachezwa mkoani Iringa Mei 24 na 25 mwaka huu yakishirikisha madereva kutoka ndani na…

Read More

Kigogo TFF atia neno fainali CAFCC kuchezwa Zanzibar

SIMBA imerejea nchini ikitokea Morocco ilikopoteza mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mbele ya RS Berkane kwa mabao 2-0, lakini kuna taarifa moja ngumu ambayo hakuna namna lazima waichukue na kujipanga kuhusu pambano la marudiano la fainali hiyo. Kila shabiki wa Simba na mzalendo anatamani kusikia Wekundu hao hao wanapewa ruhusa…

Read More

Gets Program yaungana na Mlandizi

HATIMAYE Gets Program imeungana na Mlandizi Queens kushuka daraja Ligi Kuu ya Wanawake baada ya kukusanya pointi 10 kwenye mechi 17. Imesalia mechi moja ya kumaliza msimu wa 2024/25 na Gets imeshuka rasmi baada ya kushinda mechi mbili. Kwenye mechi 17 imetoa sare nne na kupoteza 11 ikifunga mabao 11 na kuruhusu 46. Timu zote…

Read More