Kocha KMC, Mubesh aona mwanga Ligi Kuu

KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema ameona mwanga tangu aanze kukinoa kikosi hicho, huku akisema kilichobadilika kwa sasa ni mipango tu na anafurahia ushindi alioupata dhidi ya Tabora United. Mei 14, mwaka huu ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora, KMC iliichapa Tabora United bao 1-0 lililotokana na penalti ya dakika…

Read More

Yanga yatangulia fainali FA, ikiizima JKT TZ kibabe

WATETEZI wa michuano ya Kombe la Kombe la Shirikisho (FA), Yanga jioni ya leo Jumapili, imeizima JKT Tanzania kwa kuichapa mabao 2-0 katika mechi ya nusu fainali ya michuano hiyo na kutinga fainali, sasa ikisubiri mshindi wa nusu fainali nyingine kati ya Simba na Singida Black Stars. Yanga ilipata ushindi huo kwenye Uwanja wa Mkwakwani,…

Read More

Kiini bandari bubu kushamiri – 1

Dar es Salaam. Udhaifu wa usimamizi wa sheria, rushwa kwa baadhi ya watendaji wa Serikali, ukosefu wa teknolojia ya kisasa ya ufuatiliaji, na mazingira magumu ya kiuchumi kwa wananchi waishio pwani katika mikoa ya Dar es Salaam na Lindi, vinatajwa kuwa vyanzo vya uwepo wa bandari bubu. Si hayo pekee, viwango vikubwa vya ushuru wa…

Read More

Wizara tatu kikaangoni bungeni wiki hii

Dodoma. Bunge la Bajeti linaendelea tena kesho, Machi 19, 2025 jijini Dodoma na mawaziri watatu wanatarajiwa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara zao. Hata hivyo, inaelezwa kuwa macho na masikio ya wengi huenda yakaangazia zaidi kwenye wizara za Kilimo, Mifugo na Uvuvi, sambamba na ile ya Maliasili na Utalii. Mbali ya wizara hizo,…

Read More