Mambo manne yaliyoteka mjadala bajeti ya elimu

Dodoma. Mambo manne yameteka mjadala wa bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2025/26, ikiwemo fedha za miradi ya maendeleo kutotolewa kwa wakati. Nyingine ni mdondoko wa wanafunzi, miundombinu ya shule, upungufu na utaratibu unaotumika katika kuajiri walimu. Hata hivyo, mbali na dosari hizo,  Bunge lilipitisha Sh2.4 trilioni kwa ajili ya utekelezaji…

Read More

Wadau watoa neno vipaumbele vya elimu 2025/26

Mwanza. Wakati Bunge lilipitisha bajeti ya elimu kwa mwaka 2025/26, wachambuzi na wadau wa elimu wameelezea hisia zao kuhusu vipaumbele vilivyowekwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. Bajeti hiyo ya Sh2.4  iliwasilishwa bungeni Mei 12, 2025 na Waziri Elimu, Profesa Adolf Mkenda kisha, Bunge kuipitisha, ikiwa imeongezeka kwa asilimia 23.8 sawa na Sh0.469 trilioni…

Read More

Shahidi kesi ya mauaji ya kifamilia alivyogundua mwili wa marehemu uliotelekezwa kichakani

Dar es Salaam. Shahidi wa sita katika kesi ya mauaji ya kifamilia inayomkabili mama anayedaiwa kumuua binti yake akishirikiana na kijana wake wa kiume, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, namna alivyobaini mwili wa marehemu uliokuwa umetupwa kichakani. Washtakiwa katika kesi hiyo inayosikilizwa na Hakimu Mkazi, mwenye mamlaka ya ziada, Mary Mrio ni Sophia Mwenda…

Read More

Mjadala elimu ya amali ulivyoteka Bunge

Dodoma. Elimu ya amali inatajwa kuwa ni nyenzo muhimu ya kuwawezesha wanafunzi kupata ujuzi na hatimaye  kumudu maisha yao. Elimu hiyo itokanayo na maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kutaka Tanzania kutoa mafunzo ya ujuzi, sio tu inajenga msingi wa kuwa na wahitimu walio tayari kuchangia maendeleo ya Taifa, bali kuandaa Watanzania katika soko…

Read More

Bandari bubu janga kwa afya za Watanzania -2

Dar/Mikoani. Serikali inaendelea kukuna kichwa kutokana na ongezeko la magonjwa yasiyokuambukiza nchini, huku sababu mbalimbali zikitajwa ikiwamo mtindo wa maisha na vyakula. Hata hivyo, wataalamu wa afya wameonya juu ya tishio jipya la matumizi ya vyakula visivyo na ubora vinavyopitishwa kinyemela katika bandari zisizo rasmi (bandari bubu). Takwimu za Wizara ya Afya kupitia Mfumo wa…

Read More

Hasira; Chanzo Kikubwa cha Kuvunjika Uhusiano! – Global Publishers

LAITI kama kwenye dunia hii kila mmoja angejitambua, akafuata misingi sahihi ya uhusiano, basi kusingekuwa na ugomvi.  Watu wangekuwa wanapishana tu kwenye mambo madogomadogo na kuwekana sawa kisha maisha yanaendelea, lakini kutokana na ugumu wa mioyo yetu, tunaifanya dunia kuwa uwanja wa mapambano. Watu wanagombana kila kukicha, wanapigana na hata kuuana, kisa mapenzi. Ukifuatilia, chanzo…

Read More

Mkutano wa Afya Ulimwenguni unafungua wakati wa kura ya makubaliano ya makubaliano ya juu, Mgogoro wa Fedha wa Ulimwenguni-Maswala ya Ulimwenguni

Tedros Adhanom Ghebreyesus, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni, aliwasihi nchi wanachama zibaki zikizingatia malengo yaliyoshirikiwa hata licha ya kutokuwa na utulivu wa ulimwengu. “Tuko hapa kutumikia masilahi yetu wenyewe, lakini watu bilioni nane wa ulimwengu wetu“Alisema katika hotuba yake kuu katika Mataifa ya Palais des.” Kuacha urithi kwa wale wanaotufuata; kwa watoto wetu…

Read More

Makocha Yanga waipa ujanja Simba fainali CAFCC

INAWEZEKANA. Ndivyo walivyosema kwa nyakati tofauti makocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael na Hans van der Pluijm wakiamini Simba inaweza kupindua matokeo ya mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayopigwa nchini wikiendi hii. Vijana wa Fadlu Davids wanahitaji ushindi wa mabao 3-0 ili…

Read More