WENYE VYETI FEKI VYA UANDISHI WA HABARI WAONYWA

Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Ndg. Tido Mhando, ametoa onyo kali kwa watu wanaokusudia kutumia vyeti bandia katika mchakato wa kuomba kuthibitishwa kama waandishi wa habari kupitia mfumo mpya wa usajili wa kidijitali. Akizungumza tarehe 19 Mei 2025 katika mkutano na Wahariri na Waandishi wa Habari uliofanyika…

Read More

Yao afanyiwa upasuaji Tunisia | Mwanaspoti

YANGA imefanya uamuzi mgumu wa kumpeleka beki wa kulia, Yao Kouassi kufanyiwa upasuaji kutokana na tatizo la muda mrefu alilonalo la goti lililomuweka nje ya uwanja. Yao alifanyiwa upasuaji wiki iliyopita wa goti la kushoto baada ya awali kupona jeraha la kifundo cha mguu na nyama za paja, lililomfanya akose mechi kadhaa za timu hiyo….

Read More

Waziri wa Mazingira wa Norway ateta na Waziri Masauni

  WAZIRI  wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mha. Hamad Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Andreas Bjelland Eriksen – Waziri wa Hali ya Hewa na Mazingira wa Norway. Mazungumzo hayo yalilenga ushiriki wa Tanzania katika COP30 na majadiliano kuhusu taka za Plastiki, yalifanyika katika Ofisi za Wizara hiyo jijini Oslo, nchini…

Read More

Nangu: Kumkaba Pacome, ufanye kazi muda wote

JKT Tanzania imekwama katika mbio za kusaka tiketi ya michuano ya CAF baada ya kufungwa mabao 2-0 na Yanga katika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), huku beki Wilson Nangu akisema kumkaba Pacome Zouzoua inahitaji umakini mkubwa. Beki huyo chipukizi ameliambia Mwanaspoti kuwa kiungo mshambuliaji huyo wa Yanga ni mchezaji mwenye kasi na akili…

Read More

RAIS DKT. SAMIA KUFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO

::::::: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa kilometa 3 na barabara zake unganishi zenye urefu wa kilometa 1.66 utakaofanyika tarehe 19 Juni, mwaka huu. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim…

Read More

Makocha Yanga waipa ujanja Simba

INAWEZEKANA. Ndivyo walivyosema kwa nyakati tofauti makocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael na Hans van der Pluijm wakiamini Simba inaweza kupindua matokeo ya mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayopigwa nchini wikiendi hii. Vijana wa Fadlu Davids wanahitaji ushindi wa mabao 3-0 ili…

Read More

Mahakama yaamuru Lissu asizingirwe na Polisi

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Kisutu imetoa maelekezo kwa askari wa Jeshi la Magereza kumuacha huru Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu akiwa kizimbani, badala ya kumlinda kwa kumzingira, ili apate nafasi ya kufuatilia kesi yake. Pia, mahakama hiyo imebadili uamuzi wake wa awali wa kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili…

Read More

Sababu wageni kupewa maeneo ya kuchimba gesi, mafuta

Dar es Salaam. Matumizi ya gharama kubwa katika kuchimba visima vya gesi imetajwa kuwa sababu ya Serikali kunadi vitalu vyake, ili kuita wawekezaji kutoka sehemu mbalimbali. Wawekezaji hao wanapopewa maeneo hufanya shughuli zao kupitia utaratibu wa mikataba ya kugawana mapato (PSA) ambayo huingiwa kati ya Serikali, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na kampuni…

Read More