SANAA INAMCHANGO MKUBWA KATIKA KUKUZA UCHU

……………. _▪️Awataka wasanii wawekeze zaidi katika sanaa ili kuongeza wigo wa ajira_ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema sekta ya utamaduni na Sanaa ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa wasanii na Taifa, kuongeza fursa za ajira, kurasimisha kazi za sekta sambamba na kuimarisha maadili ya jamii. Waziri Mkuu ametoa wito kwa wasanii nchini waweke kipaumbele…

Read More

Hivi ndivyo vyakula pendwa Morocco

Berkane: KILA nchi ina utamaduni wake na vyakula, kuna wakati huwa ni utambulisho wa nchi au jamii fulani. Kama ilivyo kwa jamii ya Kihaya ambayo ndizi zilizochanganywa na maharage ndiyo chakula kinachoitambulisha, kwa hapa Morocco vipo vyakula viwili ambavyo vinapendwa kwa kiasi kikubwa na jamii ya yao. Vyakula hivyo viwili vya kitamaduni vya Morocco ni…

Read More

TPDC Yadhamini na Kushiriki Mbio za Marathoni kwa Lengo la Kuelimisha Umma Kuhusu Nishati Safi ya Kupikia

 Baadhi ya wanachama wa TPDC Runners Club wakiwa katika picha ya pamoja Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) leo limeungana na wadau mbalimbali katika kushiriki mbio za marathoni zilizoandaliwa kwa lengo la kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini. Mbio hizo zimefanyika katika viwanja vya Green Ground, Oysterbay jijini Dar es Salaam na…

Read More

Shahidi adai mama alikwenda kwa sangoma kumpumbaza bintiye

Dar es Salaam. Shahidi wa tano wa upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji ya mwanafamilia, inayomkabili Sophia Mwenda (64) na mwanaye wa kiume, Alphonce Magombola (39), ameieleza mahakama jinsi mama huyo alivyokwenda kwa mganga wa jadi na kupewa dawa ya kumpumbaza binti yake asiende Mbeya kutoa ushahidi mahakamani. Katika maelezo ya onyo aliyotoa Kituo…

Read More

‘Mfalme Zumaridi’ aachiwa kwa dhamana, uchunguzi waendelea

Mwanza. Polisi mkoani Mwanza limemuachia kwa dhamana Diana Bundala maarufu ‘Mfalme Zumaridi’ huku uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazomkabili ukiendelea. Zumaridi, ambaye alikamatwa kwa tuhuma za kugeuza makazi yake kuwa kanisa, kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kuhubiri kwa sauti ya juu na kudaiwa kuaminisha watoto kuwa yeye ni mungu wao. Akizungumza na Mwananchi, leo Jumamosi…

Read More

Mkoa wa Asia-Pacific unahamia katika siku zijazo za kushirikiana na ushirikiano wa kimataifa-maswala ya ulimwengu

Mfanyabiashara wa kike anaandaa mazao yake katika soko huko Hanoi, Viet Nam. Sekta isiyo rasmi ni muhimu kwa maisha ya watu zaidi ya bilioni 4 huko Asia na Pasifiki. Sera za kiuchumi zinapaswa kuorodheshwa ili kuwasaidia wakati wa kutokuwa na uhakika wa ulimwengu. Mikopo: Unsplash/Jack Young Maoni na Sudip Ranjan Basu (Bangkok, Thailand) Ijumaa, Mei…

Read More

Kocha KMC, Mubesh aona mwanga KMC

KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema ameona mwanga tangu aanze kukinoa kikosi hicho, huku akisema kilichobadilika kwa sasa ni mipango tu na anafurahia ushindi alioupata dhidi ya Tabora United. Mei 14, mwaka huu ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora, KMC iliichapa Tabora United bao 1-0 lililotokana na penalti ya dakika…

Read More

Chikola azichambua dakika 540 ngumu Tabora

FEBRUARI 28, 2025, ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kwa Tabora United kupata ushindi katika Ligi Kuu Bara, baada ya hapo imecheza mechi sita mfululizo sawa na dakika 540 ikiambulia vichapo huku kiungo wa kikosi hicho, Offen Chikola akitoa neno. Timu hiyo inayoshika nafasi tano kwenye msimamo wa ligi ikikusanya pointi 37, mara ya mwisho kuapata…

Read More