Gugumaji jipya ladhibitiwa Ziwa Victoria

Mwanza. Serikali imefanikiwa kudhibiti gugumaji jipya aina ya salvinia molesta, huku changamoto ikibaki kushamiri kwa gugumaji la asili la lutende. Akitoa taarifa kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Jumatatu, Mei 19, 2025, alipotembelea eneo la Kigongo – Busisi mkoani Mwanza kujionea hali halisi na uvunaji wa gugumaji la lutende, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa…

Read More

Mwalimu, Kigaila, Mrema walivyotinga Kamati Kuu Chaumma

Dar es Salaam. Ingawa bado haijawa rasmi kwa kundi la waliokuwa makada wa Chadema linalounda G55 kujiunga na Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), yanayoendelea Masaki, Dar es Salaam, kunakofanyika vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya chama hicho, yanaongeza ithibati ya hilo. Hilo linatokana na ukweli kwamba, katika eneo hilo, ukiacha wajumbe wa…

Read More

Rais Samia afanya uteuzi, amgusa Profesa Nagu, Mbungo

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akimteua Profesa Tumaini Nagu kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), anayeshughulikia masuala ya afya. Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatatu Mei 19, 2025, na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka na kusainiwa na Mkurugenzi wa…

Read More

Winga Mbongo atambulishwa Ujerumani | Mwanaspoti

WINGA wa Kitanzania, Emma Lattus ametambulishwa kwenye kikosi cha timu ya Borussia Monchengladbach inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Ujerumani akitokea FC Koln 2. Mwanadada huyo anakuwa Mtanzania wa kwanza kuitumikia ligi ya Ujerumani kwa upande wa wanawake. Licha ya nyota huyo (18) mwenye asili ya nchi mbili, Tanzania na Ujerumani, klabu hiyo inamtambua kama Mtanzania….

Read More

Alliance v Ceasiaa vita ya ‘Top 5’ WPL

ACHANA na vita ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake kati ya JKT Queens na Simba Queens, kuna mchuano mwingine mkali wa kuwania nafasi ya tano kati ya Alliance Girls na Ceasiaa Queens. Hadi sasa nafasi ya tatu ambayo iko Yanga Princess na nne Mashujaa Queens zimejihakikishia nafasi hizo kutokana na pointi zao haziwezi kufikiwa…

Read More