Waziri Ulega awaonya wakandarasi wazembe, NCC yaja na mfumo kusaidia sekta ya ujenzi

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewataka wakandarasi nchini kutekeleza miradi kwa weledi na kwa kuzingatia viwango, ili kuleta tija kwa Taifa. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mei 15, 2025 wakati akifungua  mkutano wa mashauriano na wadau wa sekta ya ujenzi, Waziri Ulega amesisitiza umuhimu wa wakandarasi kutekeleza kazi zao kwa kuzingatia masharti…

Read More

BARRICK YAWEZESHA NA KUSHIRIKI KONGAMANO LA KUWAJENGEA UWEZO WANAFUNZI WA VYUO VIKUU ZANZIBAR

  Mkurugenzi wa Vijana,Wizara ya Habari,Vijana na Michezo Zanzibar,Shaibu Ibrahim Muhamed ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea na Wanafunzi na wageni waalikwa Afisa Msimamizi wa Idara ya Uchenjuaji kutoka mgodi wa Barrick North Mara, Kiugu James akiongea na Wanafunzi katika kongamano hilo. Mkurugenzi wa Vijana,Wizara ya Habari,Vijana na Michezo Zanzibar,Shaibu Ibrahim Muhamed (kushoto) akibadilishana mawazo na…

Read More

Zawadi aina saba za kumpa mwenza wako

Mwanza. Katika maisha ya ndoa, kuna mambo mengi yanayochangia kuimarisha uhusiano kati ya wanandoa.  Miongoni mwa mambo hayo ni mawasiliano mazuri, kuheshimiana, kusameheana, na kushirikiana katika majukumu ya kila siku.  Hata hivyo, kuna jambo jingine linalochukuliwa kuwa dogo na lisilo la lazima na watu wengi, lakini lina nguvu kubwa ya kuimarisha mapenzi na kuleta furaha…

Read More

Mambo yanayowaathiri wanawake kwenye malezi

Dar es Salaam. Malezi ni jukumu la baba na mama. Mtoto anayelelewa kwa uwiano mzuri na baba na mama anakuwa mbali sana kimakuzi,  kimaendeleo na  kihisia tofauti na yule ambaye amekosa upande mmoja. Pamoja na ukweli huu, wanawake wanabaki kuwa viungo muhimu sana kwenye malezi ya watoto. Mtoto aliyekosa malezi ya mama anaweza kuwa tofauti…

Read More

Chadema walivyohitimisha No reforms, no election kanda ya ziwa

Shinyanga. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehitimisha operesheni ya No reforms, no election ‘bila mabadiliko hakuna uchaguzi’ katika kanda za Victoria na Serengeti kikiwahimiza wananchi kukikataa Chama cha Mapinduzi (CCM). Viongozi mbalimbali wa Chadema wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti bara, John heche walifanya mikutano mbalimbali kwenye mikoa hiyo ya kanda ya ziwa ambayo ilikuwa na…

Read More

PUNDA ANA HAKI KAMA WANYAMA WENGINE- SERIKALI

Dkt. Shaban Tozzo,  mratibu wa shughuli ya Sherehe ya Maadhimisho ya siku ya Punda Duniani  yaliyofanyika Kitaifa katika kijiji cha Chambalo, Wilaya ya Chemba, Mkoani Dodoma akimtibu Kidonda Punda ikiwa ni mmoja wapo ya shughuli zilizofanyika katika siku hiyo, kushoto ni  Dkt. Charles Bukula Mtaalamu wa Mifugo kutoka INADES-Formation Tanzania Naibu Katibu Mkuu Wizara ya…

Read More

Hasanoo: Simba hii ni bora kuliko zote

BERKANE: KATIBU mkuu wa zamani wa Simba, Hassan Hassanoo ametazama vizazi vitano tofauti vya Simba vilivyotikisa kimataifa, lakini amekichagua cha sasa kuwa bora zaidi. Hassanoo amesema alikiona kizazi kilichofika hatua ya nusu fainali ya Klabu Bingwa Afrika 1974, kilichotinga fainali ya Kombe la CAF 1993, kilichoingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2003,…

Read More

Yanga, JKT zashika tiketi ya Azam CAF

LEO, JUMAPILI Yanga inacheza na JKT Tanzania mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga huku dakika 90 zikikamilika kutakuwa na mambo matatu yamepatiwa majibu. Mchezo huo uliopangwa kuanza saa 10:00 jioni, unawakutanisha mabingwa watetezi Yanga wanaolisaka taji hilo kwa mara ya nne mfululizo, inakutana na JKT Tanzania inayolifukuzia…

Read More