ELIMU YA WATU WAZIMA NI ZANA YA MAENDELEO ENDELEVU
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza, kwenye kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima yaliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Agosti 25.2025. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizindua mfumo wa kupata taarifa kuhusu elimu ya watu…