Ripoti: Bado wanawake hawako salama kwa wenza wao

Mwanza. Ukatili dhidi ya wanawake unaendelea kuwa moja ya changamoto kubwa na sugu duniani, huku takwimu mpya za ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) na waathirika wake, zikionesha kuwa kwa miongo miwili jitihada za kukomesha tatizo hilo hazijazaa matunda ya kutosha. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, karibu mwanamke mmoja kati ya watatu duniani, sawa…

Read More

Wenza msikimbie mjusi mkaishia kwa mamba

Canada. Kuna kisa cha wenzetu ambacho kinaweza kugusa ndoa nyingi. Mke na mume walikuwa na ugomvi usiokwisha hadi kila mmoja akifikiria kuachana na mwenziwe kutokana na kuchoshwa na ugomvi. Katika harakati za kutaka kuokoa ndoa yao, wahusika walituamini na kutujia ili tuwape ushauri. Walikuwa wakweli kwetu katika kuelezea kadhia yao. Mume alikuwa na tabia ya…

Read More

Huu ndio wajibu wa mke kwenye ndoa

Dar es Salaam. Nyuma ya kila mwanaume aliyefanikiwa mara nyingi kuna mwanamke anayesimama imara nyuma yake. Anapokuwa mke halisi wa familia, nafasi yake huwa muhimu kiasi cha kuweza kujenga au kubomoa misingi ya maisha ya familia yake. Mke humtia nguvu mume wake, hutunza watoto ili waishi kwa afya na mafanikio, na hubeba majukumu mengi ya…

Read More

Mapishi ya pamoja yanavyokoleza upendo, ndoa imara

Dar es Salaam. Ndoa ni mwanzo wa safari ya pamoja, ambapo kila kipande cha maisha hukusanyika ili kuunda historia ya pendo, uaminifu, na mshikamano wa kipekee. Lakini kadiri siku zinavyosonga, changamoto za kila siku, kazi, watoto, au shinikizo la kifedha mara nyingi hujaribu kupunguza joto la uhusiano.  Ni katika muktadha huu ambapo mpishi hodari au…

Read More

Hatua muhimu za kumchagulia mtoto shule sahihi

Dar es Salaam. Katika pitapita zangu huku mitaani, kila karibu kila mzazi ninayekutana naye na kufanya naye mazungumzo hususan wale wenye watoto wanaosoma na wanaotarajia kuanza shule, mazungumzo yao ni jinsi wanavyohangaika kupata shule nzuri kwa ajili ya watoto wao. Nikawa najaribu kurudisha nyuma enzi mimi nasoma na ndugu zangu, namna wazazi wangu walivyokuwa wanahangaika…

Read More

Baada ya kuzaa sitamani kurudi kazini, nifanyeje?

Dar es Salaam.  Nimekaa likizo ya uzazi ya miezi mitatu cha kushangaza baada ya kumaliza sitamani kufanya kazi, muda mwingi natamani nibaki nyumbani nicheze na mtoto wangu. Kila nikijitahidi nashindwa nahisi kabisa nitapoteza kazi. Nishauri nifanye nini ili niwe sawa nirudi kazini kama ilivyokuwa zamani. Baada ya likizo ya uzazi, wanawake wengi hupitia mabadiliko makubwa…

Read More

Israel yadai kumuua kamanda mwandamizi wa Hamas Gaza

Jeshi la Israel limesema limemuua kamanda mkuu wa Hamas katika shambulio lililolenga gari lililokuwa likipita kwenye Jiji la Gaza siku ya Jumamosi. katika taarifa ya pamoja ya Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) na Shirika la Usalama la Shin Bet walieleza kuwa Raed Saad, aliyekuwa mkuu wa uzalishaji wa silaha wa tawi la kijeshi la…

Read More

Mafuriko Gaza yaua watoto watatu, maelfu waachwa bila makazi

Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa pamoja na uharibifu wa miundombinu katika ukanda wa Gaza yamesababisha vifo vya watoto na kuongezeka kwa mateso ya wakazi waliokwishaathiriwa na vita, kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari vya kimataifa. Kwa mujibu wa shirika la ulinzi wa raia Gaza, watoto watatu wamefariki dunia baada ya maji kuvamia mahema…

Read More

BURIANI JENISTA MHAGAMA – MICHUZI BLOG

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) John Mongella, wakitoa heshima za mwisho kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, marehemu Mhe. Jenista Joakim Mhagama, mara baada ya ibada, leo Jumamosi, tarehe 13 Desemba 2025.   Shughuli ya utoaji wa heshima za mwisho…

Read More

RAIS SAMIA AMEYAPA KIPAUMBELE MASUALA YA VIJANA: NANAUKA.

📍OR-Wizara ya Maendeleo ya Vijana Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe. Joel Nanauka amewaeleza Vijana nia ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuunda Wizara maalum ya vijana ili kukuza ustawi wa kundi hilo. Waziri Nanauka amesema hayo siku (Disemba,12, 2025) alipokuwa kwenye ziara yake…

Read More