DKT SAMIA:SERIKALI TUTAJENGA UWANJA WA MICHEZO MSOGA ZAWADI YA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Chalinze SERIKALI tutampa zawadi maalum Rais Mstaafu Jakaya Kikwete! Hivyo ndivyo ambavyo mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameeleza wakati akieleza mpango wa Ujenzi wa Uwanja mkubwa na wa kisasa wa michezo eneo la Msoga mkoani Pwani. Akizungumza na wananchi wa eneo la Chalinze mkoani Pwani akiwa katika…