Shahidi adai mama alikwenda kwa sangoma kumpumbaza bintiye

Dar es Salaam. Shahidi wa tano wa upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji ya mwanafamilia, inayomkabili Sophia Mwenda (64) na mwanaye wa kiume, Alphonce Magombola (39), ameieleza mahakama jinsi mama huyo alivyokwenda kwa mganga wa jadi na kupewa dawa ya kumpumbaza binti yake asiende Mbeya kutoa ushahidi mahakamani. Katika maelezo ya onyo aliyotoa Kituo…

Read More

‘Mfalme Zumaridi’ aachiwa kwa dhamana, uchunguzi waendelea

Mwanza. Polisi mkoani Mwanza limemuachia kwa dhamana Diana Bundala maarufu ‘Mfalme Zumaridi’ huku uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazomkabili ukiendelea. Zumaridi, ambaye alikamatwa kwa tuhuma za kugeuza makazi yake kuwa kanisa, kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kuhubiri kwa sauti ya juu na kudaiwa kuaminisha watoto kuwa yeye ni mungu wao. Akizungumza na Mwananchi, leo Jumamosi…

Read More

Mkoa wa Asia-Pacific unahamia katika siku zijazo za kushirikiana na ushirikiano wa kimataifa-maswala ya ulimwengu

Mfanyabiashara wa kike anaandaa mazao yake katika soko huko Hanoi, Viet Nam. Sekta isiyo rasmi ni muhimu kwa maisha ya watu zaidi ya bilioni 4 huko Asia na Pasifiki. Sera za kiuchumi zinapaswa kuorodheshwa ili kuwasaidia wakati wa kutokuwa na uhakika wa ulimwengu. Mikopo: Unsplash/Jack Young Maoni na Sudip Ranjan Basu (Bangkok, Thailand) Ijumaa, Mei…

Read More

Kocha KMC, Mubesh aona mwanga KMC

KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema ameona mwanga tangu aanze kukinoa kikosi hicho, huku akisema kilichobadilika kwa sasa ni mipango tu na anafurahia ushindi alioupata dhidi ya Tabora United. Mei 14, mwaka huu ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora, KMC iliichapa Tabora United bao 1-0 lililotokana na penalti ya dakika…

Read More

Chikola azichambua dakika 540 ngumu Tabora

FEBRUARI 28, 2025, ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kwa Tabora United kupata ushindi katika Ligi Kuu Bara, baada ya hapo imecheza mechi sita mfululizo sawa na dakika 540 ikiambulia vichapo huku kiungo wa kikosi hicho, Offen Chikola akitoa neno. Timu hiyo inayoshika nafasi tano kwenye msimamo wa ligi ikikusanya pointi 37, mara ya mwisho kuapata…

Read More

Fountain yaziwekea mkakati pointi 6

KIKIOSI cha Fountain Gate chini ya kocha Khalid Adam, leo Jumapili kinarejea kwenye uwanja wa mazoezi kwaajili ya kujiweka tayari kwa dakika 180 zitakazoamua hatma yao. Fountain Gate ipo nafasi ya 14 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kucheza mechi 28 ikifanikiwa kukusanya pointi 29, ina kibarua kigumu kuhakikisha inakwepa mtego wa kucheza…

Read More

MAGAI APONGEZA UTENDAJI KAZI WA WAKAGUZI WA NDANI

Baadhi ya watumishi wa Idara ya Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa ikiwemo mifumo ya ukaguzi, rasilimali watu na utawala pamoja na Mfumo wa Usimamizi wa Utendaji Kazi katika Utumishi wa Umma (PEPMIS), katika mkutano wa watumishi wa idara hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Olasite, jijini Arusha. …………… Na. Saidina…

Read More

Kocha mpya KMC, Mubesh aona mwanga KMC

KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema ameona mwanga tangu aanze kukinoa kikosi hicho, huku akisema kilichobadilika kwa sasa ni mipango tu na anafurahia ushindi alioupata dhidi ya Tabora United. Mei 14, mwaka huu ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora, KMC iliichapa Tabora United bao 1-0 lililotokana na penalti ya dakika…

Read More