Wadakwa wakiwa na meno ya tembo, bangi

Mbeya. Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa mbalimbali akiwemo, Marko Kweya (51), Mkazi wa Kijiji cha Miyombweni, Wilaya ya Mbarali mkoani humo kwa tuhuma za kukutwa na mano manne ya tembo. Pia, jeshi hilo linamshikilia Hassan Hassan (50), Mkazi wa Mkoa wa Tanga baada ya kumkamata akiwa na dawa za kulevya aina ya bangi yenye…

Read More

Sababu Padri Nkwera kuzikwa na Kanisa Katoliki

Dar es Salaam. Padri Anthony Mamsery, aliyeoongoza misa kumuombea muasisi wa kituo cha sala na maombezi cha Mama Bikira Maria (Marian Faith Healing), Padri Felician Nkwera (89), ameeleza sababu za mtumishi huyo wa Mungu kuzikwa na Kanisa Katoliki. Padri Nkwera alifariki dunia Mei 8, 2025 katika hospitali ya TMJ alikokuwa akipatiwa matibabu. Maziko yake yamefanyika…

Read More

Sh970 milioni zatengwa kusaidia wenye ulemavu

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kwa kipindi cha miaka mitatu imetenga Sh970.810 milioni kwa ajili ya usaidizi wa kundi la watu wenye ulemavu zikijumuisha ununuzi wa vifaa saidizi kulingana na mahitaji yao. Hatua hiyo itawawezesha kushiriki kikamilifu katika masuala ya kijamii, kielimu na kiuchumi. Hayo yamebainishwa leo Mei 17, 2025 katika mkutano wa…

Read More

Ilivyojipanga Wizara ya Kilimo kuongeza uzalishaji chakula

Unguja. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo kwa mwaka wa fedha 2025/26 imepanga kutekeleza malengo makuu manane, ikiwa ni pamoja na kuimarisha huduma za kilimo na kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula. Akisoma hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo barazani leo Mei 17, 2025 Waziri mwenye dhamana, Shamata Khamis Shaame…

Read More

BIL.2.25/- ZATOLEWA KWA WANUFAIKA WA SHUGHULI ZA UTALII

………………… Na Mwandishi wetu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, amekabidhi hundi zenye jumla ya Sh.bilioni 2.25  kwa wanufaika wa shughuli za utalii katika maeneo yanayosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA). Wanufaika wa mgao huo ni pamoja na Jumuiya sita za Hifadhi za Wanyamapori (WMA) ambazo zimepokea Sh.bilioni…

Read More

UN Chief inasikika kengele juu ya haraka Himalayan Glacier Melt – Maswala ya Ulimwenguni

António Guterres ilitoa onyo hilo katika ujumbe wa video kwa uzinduzi Sagarmatha Sambaadau “Mazungumzo ya Everest,” yaliyokusanywa na Serikali ya Nepal huko Kathmandu. “Joto la rekodi limemaanisha kuyeyuka kwa barafu“Alisema. “Nepal leo iko kwenye barafu nyembamba – kupoteza karibu na theluthi moja ya barafu yake katika zaidi ya miaka thelathini. Na barafu zako zimeyeyuka asilimia…

Read More

Rais Samia ahoji uzalendo wasiotaka kujiandikisha

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wale wasiojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura au wasiotaka kujitokeza kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kujiuliza rohoni mwao uzalendo wao uko wapi. Uandikisaji na uboreshaji taarifa za wapiga kura unafanywa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) maeneo mbalimbali nchini ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi…

Read More

Mchungaji aliyetekwa Arusha akutwa porini, asimulia

Arusha. Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo lililopo Mtaa wa FFU Kata ya Muriet mkoani Arusha, Steven Jacob (35), aliyetekwa na watu wasiojulika alipotoka nyumbani kwake asubuhi ya Mei 16, 2025 amesimulia alivyookolewa na walinzi wa mashamba ya ngano. Akizungumza akiwa kanisani leo Jumamosi Mei 17, 2025 amedai watu waliomteka walijitambulisha kwake kuwa maofisa…

Read More

Kibano chaja usajili wahudumu wa mabasi

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) imeanza ukaguzi wa utekelezaji wa sheria na kanuni kwa watoa huduma wa usafiri wa mabasi ya masafa marefu, ikiwa ni sehemu ya kusimamia usajili na uthibitishaji wa wahudumu wa vyombo vya moto vinavyotoa huduma kibiashara. Hatua hiyo inatekelezwa kwa mujibu wa Kifungu cha 5(1)(e) cha Sheria…

Read More