Zawadi aina saba za kumpa mwenza wako

Mwanza. Katika maisha ya ndoa, kuna mambo mengi yanayochangia kuimarisha uhusiano kati ya wanandoa.  Miongoni mwa mambo hayo ni mawasiliano mazuri, kuheshimiana, kusameheana, na kushirikiana katika majukumu ya kila siku.  Hata hivyo, kuna jambo jingine linalochukuliwa kuwa dogo na lisilo la lazima na watu wengi, lakini lina nguvu kubwa ya kuimarisha mapenzi na kuleta furaha…

Read More

Mambo yanayowaathiri wanawake kwenye malezi

Dar es Salaam. Malezi ni jukumu la baba na mama. Mtoto anayelelewa kwa uwiano mzuri na baba na mama anakuwa mbali sana kimakuzi,  kimaendeleo na  kihisia tofauti na yule ambaye amekosa upande mmoja. Pamoja na ukweli huu, wanawake wanabaki kuwa viungo muhimu sana kwenye malezi ya watoto. Mtoto aliyekosa malezi ya mama anaweza kuwa tofauti…

Read More

Chadema walivyohitimisha No reforms, no election kanda ya ziwa

Shinyanga. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehitimisha operesheni ya No reforms, no election ‘bila mabadiliko hakuna uchaguzi’ katika kanda za Victoria na Serengeti kikiwahimiza wananchi kukikataa Chama cha Mapinduzi (CCM). Viongozi mbalimbali wa Chadema wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti bara, John heche walifanya mikutano mbalimbali kwenye mikoa hiyo ya kanda ya ziwa ambayo ilikuwa na…

Read More

PUNDA ANA HAKI KAMA WANYAMA WENGINE- SERIKALI

Dkt. Shaban Tozzo,  mratibu wa shughuli ya Sherehe ya Maadhimisho ya siku ya Punda Duniani  yaliyofanyika Kitaifa katika kijiji cha Chambalo, Wilaya ya Chemba, Mkoani Dodoma akimtibu Kidonda Punda ikiwa ni mmoja wapo ya shughuli zilizofanyika katika siku hiyo, kushoto ni  Dkt. Charles Bukula Mtaalamu wa Mifugo kutoka INADES-Formation Tanzania Naibu Katibu Mkuu Wizara ya…

Read More

Hasanoo: Simba hii ni bora kuliko zote

BERKANE: KATIBU mkuu wa zamani wa Simba, Hassan Hassanoo ametazama vizazi vitano tofauti vya Simba vilivyotikisa kimataifa, lakini amekichagua cha sasa kuwa bora zaidi. Hassanoo amesema alikiona kizazi kilichofika hatua ya nusu fainali ya Klabu Bingwa Afrika 1974, kilichotinga fainali ya Kombe la CAF 1993, kilichoingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2003,…

Read More

Yanga, JKT zashika tiketi ya Azam CAF

LEO, JUMAPILI Yanga inacheza na JKT Tanzania mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga huku dakika 90 zikikamilika kutakuwa na mambo matatu yamepatiwa majibu. Mchezo huo uliopangwa kuanza saa 10:00 jioni, unawakutanisha mabingwa watetezi Yanga wanaolisaka taji hilo kwa mara ya nne mfululizo, inakutana na JKT Tanzania inayolifukuzia…

Read More

Simba yakomaa na hoja 3 nzito CAF

BERKANE: UONGOZI wa Simba baada ya kupata taarifa ya kubadilishwa ghafla kwa uwanja ambao utatumika kwa mechi yao ya nyumbani ya hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane, ulifanya kikao kizito hapa Morocco kujadili jambo hilo. Kikao hicho ambacho kilihusisha pia kupeana taarifa ya maandalizi ya mchezo wa kwanza ugenini…

Read More

Nondo za kuibeba Simba uwanja wa nyumbani

MCHEZO wa fainali ya mkondo wa kwanza Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane dhidi ya Simba ulimalizika nchini Morocco, na sasa ni kuuendea ule wa marudiano utakaochezwa Tanzania, Jumapili ijayo. Wakati Simba ikiwa kwenye mawazo ya nini kinapaswa kufanyika mechi ya marudiano ili kubeba ubingwa wa michuano hiyo kwa mara ya kwanza, kuna…

Read More

Nani kasema kitanda hakizai haramu?

Canada. Kuna imani kuwa kitanda hakizai haramu. Uzoefu wetu unaonyesha kuwa kitanda kinazaa haramu japo huhalalishwa kwa visingizio mbalimbali kama mila, ujinga na ubutu wa teknolojia. Ujio wa kipimo cha DNA unaonyesha kuwa kitanda kinazaa haramu tu.  Kusema kitanda hakizai haramu ni uchafu kimila. Ni hatari, majuto, na makosa makubwa kwa wasioamini wala kukubali uchafu…

Read More