KVZ yaizima Malindi, ikiingia vita ya ubingwa

MAAFANDE wa KVZ jana imeizima Malindi kwa mabao 2-1 na kuchupa hadi nafasi ya pili kutoka ya nne ikiingia katika vita ya ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Ushindi huo uliopatikana kwenye Uwanja wa Mao A umeifanya KVZ kufikisha pointi 47, moja pungufu na ilizonazo Mafunzo inayoongoza msimamo ambayo nayo jana ilibanwa mbavu na Zimamoto…

Read More

Mambo sita yaisubiri Kamati Kuu Chadema

Kakola. Mambo sita likiwemo la makada na viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia (Chadema) kujivua uanachama mfululizo zinatarajia kutawala katika kikao cha kamati kuu ya chama hicho Mei 21, 2025 jijini Dar es Salaam. Kikao hicho, ambacho kitakuwa cha kwanza kufanyika bila kuwepo Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu ambaye yupo mahabusu, kitaongozwa na Makamu…

Read More

‘Naenda kwa mama’ janga jipya kwenye ndoa

Dar es Salaam. Kauli ya kawaida inayotumiwa na wanawake walioolewa “Nakwenda kwa mama” ambayo huonekana kama ya kawaida na yenye malengo ya mapumziko au kutafuta utulivu wa muda, sasa imeanza kuchukua sura mpya. Kwa mujibu wa utafiti wa Mwananchi,  baadhi ya wanaume wanaeleza kuwa kauli hiyo sasa  imegeuzwa kuwa silaha ya kuvunja ndoa. Katika hali ya kawaida,…

Read More

CG MWENDA ABAINI UKWEPAJI KODI MKUBWA VIWANDANI

          :::::::: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda leo tarehe 17.05.2025 amefanya ziara ya kushitukiza kwenye baadhi ya Viwanda vilivyopo wilayani Mkuranga mkoani Pwani na kubaini kuwepo kwa ukwepaji mkubwa wa Kodi unaofanywa na wamiliki wa Viwanda hivyo. Akiwa katika kiwanda cha kuzalisha viatu vya…

Read More

‘Serikali inachukua hatua ripoti za CAG’

Mwanza. Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imewataka wananchi na wadau wa maendeleo nchini Tanzania kujenga utamaduni wa kusoma ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ili kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa mapendekezo yanayotolewa na ofisi hiyo inapobaini udhaifu, mapungufu na ubadhirifu kwenye taasisi na miradi. Akizungumza leo Jumamosi Mei 17,…

Read More