Bazecha watoa msimamo mtikisiko wa kisiasa Chadema
Dar es Salaam. Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha) limesema licha ya hamahama ya baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho, uimara wa Chadema sasa ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote. Baraza hilo limetafsiri hatua ya baadhi ya makada wa chama kujivua nyadhifa zao na kuondoka kama hatua mojawapo inayopitiwa na bahari kutema uchafu….