Kibano chaja usajili wahudumu wa mabasi

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) imeanza ukaguzi wa utekelezaji wa sheria na kanuni kwa watoa huduma wa usafiri wa mabasi ya masafa marefu, ikiwa ni sehemu ya kusimamia usajili na uthibitishaji wa wahudumu wa vyombo vya moto vinavyotoa huduma kibiashara. Hatua hiyo inatekelezwa kwa mujibu wa Kifungu cha 5(1)(e) cha Sheria…

Read More

China yaipa Tanzania msaada wa Sh 185 bilioni

Dar es Salaam. Tanzania imepewa msaada wa Sh185 bilioni kutoka Serikali ya China kwa ajili ya mradi wa upanuzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na kusaidia programu ya ushirikiano wa kiuchumi na kitaalamu. Hayo yameelezwa katika hafla wa kusaini mikataba hiyo miwili kati ya Wizara ya Fedha kupitia Waziri wake, Dk…

Read More

Mchome avuliwa uongozi Chadema | Mwananchi

Moshi. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini kimemvua uongozi mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Lemburus Mchome leo Jumamosi, Mei 17, 2025. Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Ndonde Tottinan amethibitisha kuvuliwa uongozi wa Mchome katika kikao cha mashauriano Mkoa wa Kilimanjaro, kilichoketi leo Mei 17, 2025 mjini Moshi….

Read More

TANZANIA YAPONGEZWA KWA KUWEKA MAZINGIRA RAFIKI YA UWEKEZAJI

 SERIKALI ya Tanzania imeendelea kupata pongezi kutoka kwa wawekezaji wa kigeni kwa jitihada zake za kuboresha mazingira ya biashara, ikiwemo kurahisisha taratibu za usajili wa kampuni na kuwapa wawekezaji fursa ya kuanza shughuli haraka bila vikwazo vikubwa vya kiutendaji.   Akizungumza Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la Kampuni…

Read More

Maajabu ya mpaka wa Morocco na Algeria

Berkane: MOROCCO na Algeria ni nchi zinazopakana lakini kwa muda mrefu zimekuwa na mgogoro wa kisiasa sababu kubwa ikiwa ni kugombea ardhi baina ya nchi hizo mbili. Miongoni mwa miji ya Morocco ambayo inapakana na Algeria ni Oujda ambao Simba ilifikia na kuweka kambi ya muda kabla ya kucheza fainali na RS Berkane kwenye Uwanja…

Read More

SANAA INAMCHANGO MKUBWA KATIKA KUKUZA UCHU

……………. _▪️Awataka wasanii wawekeze zaidi katika sanaa ili kuongeza wigo wa ajira_ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema sekta ya utamaduni na Sanaa ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa wasanii na Taifa, kuongeza fursa za ajira, kurasimisha kazi za sekta sambamba na kuimarisha maadili ya jamii. Waziri Mkuu ametoa wito kwa wasanii nchini waweke kipaumbele…

Read More

Hivi ndivyo vyakula pendwa Morocco

Berkane: KILA nchi ina utamaduni wake na vyakula, kuna wakati huwa ni utambulisho wa nchi au jamii fulani. Kama ilivyo kwa jamii ya Kihaya ambayo ndizi zilizochanganywa na maharage ndiyo chakula kinachoitambulisha, kwa hapa Morocco vipo vyakula viwili ambavyo vinapendwa kwa kiasi kikubwa na jamii ya yao. Vyakula hivyo viwili vya kitamaduni vya Morocco ni…

Read More

TPDC Yadhamini na Kushiriki Mbio za Marathoni kwa Lengo la Kuelimisha Umma Kuhusu Nishati Safi ya Kupikia

 Baadhi ya wanachama wa TPDC Runners Club wakiwa katika picha ya pamoja Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) leo limeungana na wadau mbalimbali katika kushiriki mbio za marathoni zilizoandaliwa kwa lengo la kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini. Mbio hizo zimefanyika katika viwanja vya Green Ground, Oysterbay jijini Dar es Salaam na…

Read More