CCM yajibu aliko Wasira | Mwananchi

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema kutoonekana kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Stephen Wasira ni suala la ratiba na si vinginevyo kama inavyoelezwa. Ufafanuzi wa Makalla unajibu kauli mbalimbali zinazoibuliwa katika mitandao ya kijamii kutoka kwa baadhi ya wadau wakihoji, yuko wapi…

Read More

Watatu walivyoepa adhabu ya kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama ya Rufani imetengua adhabu ya kifo waliyokuwa wamehukumiwa watu watatu waliokuwa wamekutwa na hatia katika kesi tofauti za mauaji. Aidha, katika kesi nyingine mbili, Mahakama hiyo imebatilisha mwenendo, kufuta hukumu na kuamuru kesi hizo zisikilizwe upya na Mahakama Kuu kutokana na dosari mbalimbali za kisheria zilizojitokeza. Hukumu hizo tano zilitolewa jana Ijumaa Mei…

Read More

CCM yajibu aliko Wsira | Mwananchi

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema kutoonekana kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Stephen Wasira ni suala la ratiba na si vinginevyo kama inavyoelezwa. Ufafanuzi wa Makalla unajibu kauli mbalimbali zinazoibuliwa katika mitandao ya kijamii kutoka kwa baadhi ya wadau wakihoji, yuko wapi…

Read More

Mchungaji atekwa na wasiojulikana, mashuhuda wasimulia

Arusha. Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo lililopo Mtaa wa FFU, Kata ya Muriet mkoani Arusha, Steven Jacob (35) ametekwa na watu wasiojulikana alipokuwa akitoka nyumbani kwake asubuhi ya Mei 16, 2025, walioshuhudia wasimulia. Baba mzazi wa Steven, ambaye ni balozi wa nyumba 10 wa CCM pamoja na walioshuhudia tukio hilo, wamesema waliomteka walikuwa…

Read More

Mchungaji atekwa na wasiojulikana, mashuhuda wasilimulia

Arusha. Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo lililopo Mtaa wa FFU, Kata ya Muriet mkoani Arusha, Steven Jacob (35) ametekwa na watu wasiojulikana alipokuwa akitoka nyumbani kwake asubuhi ya Mei 16, 2025, walioshuhudia wasimulia. Baba mzazi wa Steven, ambaye ni balozi wa nyumba 10 wa CCM pamoja na walioshuhudia tukio hilo, wamesema waliomteka walikuwa…

Read More

Ugonjwa wa Wagonjwa unaweza kuwa ‘Gamechanger’ kwa jamii zilizotengwa, anasema Wakili wa Vijana – Maswala ya Ulimwenguni

Bwana Hassan na madiwani wenzake wa vijana wanashauri na kushiriki kikamilifu na WHO Mkurugenzi Mkuu na uongozi wa juu wa shirika hilo, kubuni na kupanua mipango na mikakati ya wakala. Katika mahojiano na Habari za UN kabla ya 2025 Mkutano wa Afya Ulimwenguni -Mkutano wa juu kabisa wa Afya ya Ulimwenguni-Bwana Hassan, ambaye alizaliwa na…

Read More

Dar City, Pazi BDL kama Simba, Yanga

LICHA ya juzi kuchezwa mechi tofauti za Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) iliyokuwa na mvuto, msisimko na kujaza mashabiki katika viwanja vya  Don Bosco Upanga ni ile iliyohusisha Dar City na Pazi. Timu hizo zina wachezaji mastaa wa ndani na nje mfano Dar City kati ya waliocheza alikuwepo Hasheem Thabeet aliyecheza…

Read More

Hekaya za Mlevi: Viongozi waige uadilifu wa nyuki

Dar es Salaam. Nyuki ni mdudu wa ajabu sana. Kwanza ana mbawa ndogo kulinganisha na mwili wake. Inashangaza jinsi anavyoweza kuzitumia mbawa hizo kuubeba na kusafirisha angani mwili wake mzito. Akiwa nchi kavu na angani hukutana na misukosuko ya ndege, mijusi na vyura wanaomwinda kwa ajili ya kitoweo. Kwa bahati nyuki ameumbwa akiwa na rangi kali…

Read More

Chadema yaitisha Kamati Kuu Mei 21, Baraza Kuu lanukia

Kakola. Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inatarajiwa kukutana jijini Dar es Salaam Jumatano Mei 21, 2025. Kikao hicho kimeitishwa kipindi ambacho chama hicho kinapitia misukosuko ikiwemo ya mwenyekiti wake, Tundu Lissu kuwa gerezani akikabiliwa na kesi mbili ya uhaini na ya kuchapisha taarifa za uongo mitandaoni. Pia, makada na viongozi wake…

Read More

TUME YA RAIS YA MABORESHO YA KODI YAKUTANA NA TRA

Tume ya Rais ya kukusanya maboresho ya Kodi ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo Balozi Maimuna Tarishi leo tarehe 16.05.2025 imekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ukiongozwa na Naibu Kamishna Mkuu Bw. Mcha Hassan Mcha Jijini Dar es Salaam. Akizungumza baada ya kikao cha pamoja cha kukusanya maoni…

Read More