Mwanafunzi chuo cha  KICHAS adaiwa kujiua  kisa madeni

Moshi. Mwanafunzi wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Kilimanjaro (KICHAS), Erick Sawe(21) anadaiwa kujiua kwa kujinyonga chooni katika nyumba aliyokuwa amepanga eneo la Kiriwa chini, Kata ya Rau Manispaa ya Moshi, huku chanzo cha kifo hicho kikidaiwa ni wingi wa madeni. Mwanafunzi huyo wa mwaka wa pili katika idara ya fiziotherapia (mazoezi kwa tiba)…

Read More

Mfalme Zumaridi akamatwa Mwanza | Mwananchi

Mwanza. Diana Bundala, maarufu Mfalme Zumaridi anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kugeuza makazi yake kuwa kanisa, kuendesha shughuli za kidini bila usajili na kuhubiri kwa sauti ya juu. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa jioni ya leo Alhamisi Mei 15, 2025 imesema Zumaridi ambaye ni…

Read More

Jinsi Sekta ya Usafirishaji Duniani Inavyoweka Saa kwa Net Zero – Maswala ya Ulimwenguni

Kila siku, makumi ya maelfu ya meli kubwa huvuka bahari ya ulimwengu, kusafirisha nafaka, mavazi, vifaa vya elektroniki, magari, na bidhaa zingine nyingi. Karibu asilimia 90 ya shehena ya ulimwengu huhamishwa kwa njia hii. Lakini tasnia hii muhimu inakuja na gharama iliyoongezwa: Usafirishaji wa kimataifa unawajibika kwa asilimia tatu ya uzalishaji wa gesi chafu ulimwenguni,…

Read More

Kiini chatajwa sababu kuibuka maswali ripoti za CAG

Mbeya. Ukosefu wa taarifa sahihi za mapato na matumizi ya fedha zinazotolewa na Serikali kutekeleza miradi ya maendeleo ni sababu ya  sintofahamu na kuibuliwa hoja kwenye Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG). Kufuatia hatua hiyo wadau wa asasi za kiraia wamekuja na mikakati ya kushiriki kufuatilia taarifa za upatikanaji wa fedha…

Read More

Bajeti ya uchukuzi itakavyotumika | Mwananchi

Dodoma. Wakati Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, akielezea jinsi watakavyotumia Sh2.75 trilioni za bajeti ya mwaka 2025/26, wabunge wengi wamesifia utendaji wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Treni ya Kisasa (SGR). Awali, akiwasilisha makadirio ya bajeti hiyo leo Alhamisi, Mei 15, 2025, Profesa Mbarawa ametaja baadhi ya miradi kuwa ni ujenzi wa SGR,…

Read More

Wananchi kupata huduma za madini mahali pamoja

Dodoma. Changamoto ya wananchi kusumbuka kuzunguka maeneo mbalimbali kutafuta huduma za Wizara ya Madini imekwisha, baada ya wizara hiyo kukamilisha ujenzi wa jengo la makao makuu lililopo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, na kuhamia rasmi. Kuhamia katika jengo hilo ni utekelezaji wa ahadi aliyotoa Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, Machi 20, 2025, wakati Kamati…

Read More