Wananchi kupata huduma za madini mahali pamoja

Dodoma. Changamoto ya wananchi kusumbuka kuzunguka maeneo mbalimbali kutafuta huduma za Wizara ya Madini imekwisha, baada ya wizara hiyo kukamilisha ujenzi wa jengo la makao makuu lililopo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, na kuhamia rasmi. Kuhamia katika jengo hilo ni utekelezaji wa ahadi aliyotoa Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, Machi 20, 2025, wakati Kamati…

Read More

Upelelezi kesi ya ‘Dk Manguruwe’ wapigwa kalenda

Dar es Salaam. Upelelezi kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40), maarufu  Dk Manguruwe, haujakamilika. Mkondya na mwenzake, Rweyemamu John (59), ambaye ni Mkaguzi wa fedha wa kampuni hiyo, wanakabiliwa na mashitaka 28 yakiwamo ya kuendesha biashara ya upatu na utakatishaji fedha linalomkabili Mkondya pekee yake. Hata…

Read More

Serikali yaja na mwarobaini wauzaji mbegu feki

Dodoma. Serikali ya Tanzania imetaja mikakati ya kukabiliana na mbegu feki nchini, ikiwemo kusajili upya wauzaji wa vijijini na wa mikoani pamoja na kuubadili mfumo wa usambazaji. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Mei 15, 2025, na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Thea Ntara. Katika swali la nyongeza,…

Read More

Usafiri wa bodaboda kupangiwa bei elekezi Zanzibar

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza kuwa iko katika hatua za mwisho za kuandaa viwango maalumu vya nauli kwa waendesha bodaboda, ili kuondoa changamoto ya kila mmoja kuweka bei anayoitaka, hivyo kuwaumiza wananchi wanaotegemea usafiri huo. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Nadir Abdulatif Yussuf, leo Alhamisi, Mei 15,…

Read More

SMZ yafungua fursa mpya kwa diaspora kuwekeza

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imechukua hatua thabiti kutambua na kuthamini mchango wa Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi (diaspora) katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi, kwa kufanya mageuzi yanayolenga kuwawezesha na kuwahusisha katika kupanga na kushiriki mustakabali wa nchi yao. Miongoni mwa hatua hizo ni ushirikishwaji rasmi wa diaspora katika uandaaji wa Rasimu…

Read More

Zaidi ya Mamilioni Kutolewa na Meridianbet Leo

ALHAMISI ya kibingwa imefika siku ya leo ambapo wakali wa ubashiri wanakwambia hivi suka jamvi mechi za leo na uibuke bingwa kwa dau lako dogo tuu. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. LALIGA kule Hispania inatarajiwa kuendelea leo ambapo Rayo Vallecano atakipiga dhidi ya Real Betis ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 11….

Read More