Usafiri wa bodaboda kupangiwa bei elekezi Zanzibar

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza kuwa iko katika hatua za mwisho za kuandaa viwango maalumu vya nauli kwa waendesha bodaboda, ili kuondoa changamoto ya kila mmoja kuweka bei anayoitaka, hivyo kuwaumiza wananchi wanaotegemea usafiri huo. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Nadir Abdulatif Yussuf, leo Alhamisi, Mei 15,…

Read More

SMZ yafungua fursa mpya kwa diaspora kuwekeza

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imechukua hatua thabiti kutambua na kuthamini mchango wa Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi (diaspora) katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi, kwa kufanya mageuzi yanayolenga kuwawezesha na kuwahusisha katika kupanga na kushiriki mustakabali wa nchi yao. Miongoni mwa hatua hizo ni ushirikishwaji rasmi wa diaspora katika uandaaji wa Rasimu…

Read More

Zaidi ya Mamilioni Kutolewa na Meridianbet Leo

ALHAMISI ya kibingwa imefika siku ya leo ambapo wakali wa ubashiri wanakwambia hivi suka jamvi mechi za leo na uibuke bingwa kwa dau lako dogo tuu. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. LALIGA kule Hispania inatarajiwa kuendelea leo ambapo Rayo Vallecano atakipiga dhidi ya Real Betis ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 11….

Read More

Wawakilishi walalama kesi za udhalilishaji kuja kivingine

Unguja. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameitaka Serikali kufanya mapitio ya Sheria ya Mtoto, wakieleza kuwa kumeibuka changamoto ya madai ya kubakwa ambayo wakati mwingine yanaibuliwa na watu wanaodaiwa kuwa watoto, ilhali wao wenyewe ndio hujihusisha na masuala ya mapenzi. Aidha, wawakilishi hao wametoa wito kwa Serikali kuweka mkazo zaidi katika elimu ya malezi, wakibainisha…

Read More

MAKANDARASI WASIOTIMIZA WAJIBU WACHUKULIWE HATUA : ULEGA

  :::::::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameitaka Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), kuwachukulia hatua makandarasi wazembe wanaosababisha hasara na athari kwa Serikali na wananchi kwa kutokamilisha miradi kwa wakati.  Ulega ametoa agizo hilo leo Mei 15, 2025 jijini Dar es Salaam wakati akifungua Mkutano wa Mashauriano na Wadau wa Sekta ya Ujenzi kwa…

Read More