Kamati ya Bunge yaiomba Serikali kuiongezea bajeti Wizara ya Viwanda na Biashara.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Bungeni Dodoma. KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo imeiomba Serikali kuiongezea bajeti na kuhakikisha inatolewa yote ya Wizara ya Viwanda na Biashara ili kufanikisha Mapinduzi ya Viwanda. Ushauri huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo,Mariamu Ditopile wakati akiwasilisha maoni ya kamati hiyo kwa mwaka wa fedha 2025-2026…

Read More

Mbunge ataka udhibiti unywaji pombe treni za usiku SGR

Mbunge wa Viti Maalumu, Mwantum Dau Haji, ameitaka Serikali kuchukua hatua za kudhibiti unywaji wa pombe ndani ya treni za Reli ya Kisasa (SGR), hususan zile zinazofanya safari za usiku, akisema hali hiyo inahatarisha utulivu na usalama wa abiria. Akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2025/26 leo Alhamisi, Mei…

Read More

Jose Mujica: Rais maskini duniani

Uruguay. Ni nadra kukutana na mtu aliyeongoza mapigano ya msituni akajitokeza hadharani kupambana na mfumo uliopo madarakani kisha kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi. Anayezungumziwa hapa ni Jose ‘Pepe’ Mujica (89), aliyekuwa Rais wa Uruguay kati ya kati ya mwaka 2010-2015. Kifo cha Mujica kilitangazwa juzi Jumanne na Rais wa nchi hiyo, Yamandu Orsi, kupitia mitandao…

Read More

ose Mujica: Rais maskini duniani

Uruguay. Ni nadra kukutana na mtu aliyeongoza mapigano ya msituni akajitokeza hadharani kupambana na mfumo uliopo madarakani kisha kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi. Anayezungumziwa hapa ni Jose ‘Pepe’ Mujica (89), aliyekuwa Rais wa Uruguay kati ya kati ya mwaka 2010-2015. Kifo cha Mujica kilitangazwa juzi Jumanne na Rais wa nchi hiyo, Yamandu Orsi, kupitia mitandao…

Read More

Wananchi, wasomi wakoleza mjadala uongezwaji majimbo

Dar es Salaam. Wananchi na wasomi wamekoleza mjadala wenye mitazo tofauti kuhusu nyongeza ya majimbo mapya manane yaliyotangazwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), baadhi wakisema hatua hiyo inakwenda kuongeza mzigo kwa walipakodi. Pia wapo waliopongeza uamuzi huo, wakisema utawezesha wabunge kuwafikia wananchi kwa urahisi na kuchukua kero zao. Mei 12, 2025 Mwenyekiti…

Read More

Gachagua azindua chama chake, risasi zarindima

Nairobi. Shughuli ya uzinduzi wa chama kipya kilichoanzishwa na aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua imeingia dosari baada ya watu ambao bado hawajajulikana kuvamia eneo ilipokuwa inafanyika shughuli hiyo. Baada ya watu hao kufika eneo hilo leo Alhamisi Mei 15, 2025, jijini Nairobi, walinzi wa Gachagua walilazimika kupiga risasi hewani na kulifanya kundi hilo…

Read More