Yacouba…Alitumia mamilioni kutibu goti | Mwananchi

“Ilikuwa kwenye mchezo wa timu yangu Tabora United dhidi ya KMC, nakumbuka nilimpiga chenga beki nikiwa nataka kwenda kufunga nikateleza vibaya mguu wangu wa kushoto ukageuka, nikasikia maumivu makali eneo la goti, nikaona labda ni kitu kidogo. Nikajaribu kuinuka lakini maumivu yakawa makali zaidi.” Haya ni maneno ya kiungo mshambuliaji wa Tabora United, Yacouba Songne…

Read More

Waendesha bodaboda 3,032 wasajiliwa | Mwananchi

Dodoma. Hadi kufikia Mei 11, 2025 waendesha bodaboda 3,032 walikuwa wamesajiliwa kwenye mfumo wa utambuzi, usajili na utoaji wa vitambulisho vya kidijitali, Bunge limeelezwa. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake Jinsia na Makundi Maalum, Mwanaidi Ali Khamis leo Alhamisi Mei 15, 2025 ambapo amesema Serikali inao mkakati wa kuwatambua na…

Read More

Watakaowavaa kina Ronaldinho hawa hapa

WACHEZAJI wakongwe wa soka visiwani Zanzibar watakaovaa na mastaa wa zamani wa Brazili wamefahamika baada ya waratibu wa pambano hilo lililopewa jina la ‘Match of the Legends’ kuweka hadharani leo Alhamisi visiwani hapa. Mechi ya kimataifa ya kirafiki baina ya wachezaji hao wa zamani wa Brazili wakiongozwa na Ronaldo de Assis Moreira ‘Ronaldinho Gaucho’ dhidi…

Read More

Ateba, Mukwala waachiwa msala Morocco

SIMBA imeanza mazoezi ikiwa katika mji wa Jadida uliopo ndani ya jiji la Casablanca, Morocco ikijiandaa na pambano la kwanza la fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya BRS Berkane litakalopigwa kwenye Uwanja wa Manispaa ya Berkane. Mechi hiyo ya ugenini itakayopigwa kuanzia saa 4:00 usiku inasubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi wa soka…

Read More

Yanga ijipange hasa kwa Mokwena

TUMEONA na kusikia tetesi miongoni mwa makocha ambao Yanga inawapigia chapuo kurithi mikoba ya Miloud Hamdi ni aliyekuwa Kocha wa Wydad Casablanca, Rulani Mokwena. Habari hii imetusisimua wengi hapa maskani maana Mokwena ni kocha mkubwa sana Afrika hivi sasa na wasifu wake unajieleza wala hakuna haja na sababu ya kubishana katika hilo. Hauwezi kusema kocha…

Read More

Chadema, Msajili bado kaa la moto

Dar/mikoani. Ni mvutano. Hoja ya uhalali wa wajumbe wa Kamati Kuu na Sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imeibua hali ya kutunishiana misuli kati ya chama hicho na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, huku kila upande ukitoa hoja za kisheria kuhalalisha hatua ulizochukua. Chadema kupitia uongozi wake inakosoa uamuzi wa Msajili…

Read More

WHO yapunguza nusu ya wafanyakazi

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limepunguza nusu ya timu yake ya usimamizi na italazimika kupunguza shughuli zake baada ya Marekani kutangaza inaondoka katika shirika hilo na kusitisha ufadhili. Pamoja na uamuzi huo, WHO inakusudia kufunga baadhi ya ofisi zake katika nchi zenye kipato cha juu. Taarifa iliyotolewa jana Jumatano, Mei 14, 2025…

Read More