Uwanja umeshainama kwa Jonathan Sowah

ILE kasi ya kufumania nyavu kwenye Ligi Kuu ya Jonathan Sowah tangu alipojiunga na Singida Black Stars ilikuwa inatisha sana na jamaa ghafla aliteka hisia za wengi ndani ya muda mfupi. Jamaa kaanza kucheza Ligi Kuu mwezi Januari tu mwaka huu baada ya kunaswa katika kipindi cha usajili cha dirisha dogo na akaweka kambani mara…

Read More

Jeuri ya Yanga ipo hapa

KIKOSI cha Yanga kinajiandaa kuondoka jijini Dar es Salaam leo Ijumaa, kwenda Tanga kwa ajili ya mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), ikiendelea kuupigia hesabu ubingwa wa Ligi Kuu ikiwa kileleni mwa msimamo na pointi 73 baada ya mechi 27, lakini ikifichua siri inayoibeba timu hiyo. Yanga inayoshikilia taji la Ligi Kuu…

Read More

Maxime azipigia hesabu dakika 180

KIPIGO cha mabao 5-0 ilichopata Dodoma Jiji kutoka kwa Azam FC ni kama kimemshtua kocha Mecky Maxime, aliyeliambia Mwanaspoti kwamba kwa sasa anajipanga kiufundi ili kukuhakikisha anazitumia mechi mbili zilizosalia ambao ni sawa na dakika 180 kujiokoa kucheza play off. Maxime alisema katika kuhakikisha kila kitu kinakuwa sawa ameamua kutoa likizo fupi ya wiki mbili…

Read More

Julio akoleza mzuka Morocco | Mwanaspoti

KOCHA Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ni miongoni wa Wanasimba walioambatana na timu hiyo kuja hapa Morocco na kukoleza mzuka kabla ya mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane, Jumamosi ijayo na kama kawaida yake amekoleza mzuka kwa kuhamasisha mastaa. Mechi hiyo itachezwa saa 1:00 usiku kwa saa za hapa…

Read More

Sababu za mechi ya marudiano kupigwa Zenji

TAARIFA mbaya kwa Simba ni Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limeuondoa mechi ya marudiano ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na RS Bekrane kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa hadi New Amaan, Zanzibar. Mechi hiyo imepangwa kuchezwa Jumamosi ijayo na awali ilikuwa ilikuwa ipigwe Kwa Mkapa na wenyeji Simba walishaanza kuuza baadhi…

Read More

Raphael Kinda anayesaka Sh2 milioni kujitibu

Masahibu ya majeraha kama haya yamewakumba wachezaji wengi, ambapo yupo pia kinda mwenye kipaji kikubwa ndani ya Singida Black Stars, Helman Raphael  ambaye anapambana na majeraha makubwa ya kuchanika nyama za paja. Raphael ambaye kabla ya kujiunga na Singida alikuwa akiwania na klabu mbalimbali kutokana na kipaji chake, ameshindwa kuwa na maisha mazuri ndani ya…

Read More

Hizi hapa faida, hasara kuoga na sabuni

Kuoga ni sehemu muhimu ya usafi wa mwili na afya ya binadamu. Katika maisha ya kila siku, tunakumbana na vumbi, jasho, mafuta ya mwili, na vijidudu mbalimbali kutoka mazingira yanayotuzunguka. Kwa sababu hiyo, kuoga husaidia kuondoa uchafu, kuleta hali ya usafi, na kuboresha afya ya ngozi. Hata hivyo, kuna swali ambalo huibuka;  je, lazima tuoge…

Read More

Wastaafu hatujasikilizwa kwenye hili | Mwananchi

Mstaafu bado anaugulia maumivu yake aliyozawadiwa na mheshimiwa waziri mmoja wa Siri-kali Oktoba mwaka jana, aliyetangaza hadharani na mbele ya waandishi wa habari kuwa Siri-kali ilikuwa imeamua kuwaongeza wastaafu shilingi elfu hamsini kwenye pensheni yao ya mwezi ya “laki si pesa” kuanzia Januari mwaka huu.Baada ya miaka 21 ya kuomba, kutaka na kuomboleza kuhusu kuhitaji…

Read More

Je, lazima kuoga kwa sabuni?

Kuoga ni sehemu muhimu ya usafi wa mwili na afya ya binadamu. Katika maisha ya kila siku, tunakumbana na vumbi, jasho, mafuta ya mwili, na vijidudu mbalimbali kutoka mazingira yanayotuzunguka. Kwa sababu hiyo, kuoga husaidia kuondoa uchafu, kuleta hali ya usafi, na kuboresha afya ya ngozi. Hata hivyo, kuna swali ambalo huibuka;  je, lazima tuoge…

Read More

UN inahitajika ‘zaidi kuliko hapo awali’ anasema mgombea wa Ujerumani kwa Mkutano Mkuu wa Kiongozi – maswala ya ulimwengu

Annalena Baerbock aliwasilisha vipaumbele vyake wakati wa mazungumzo rasmi na nchi wanachama zilizofanyika Alhamisi katika makao makuu huko New York. Ikiwa amechaguliwa, atakuwa tu Mwanamke wa tano Kuongoza chombo kikuu cha kutengeneza sera na shirika la mwakilishi zaidi, linajumuisha nchi zote wanachama 193 ambazo huchagua rais mpya kila mwaka, kuzunguka kati ya vikundi vya mkoa….

Read More