Walichokubaliana Rais Samia, Stubb wa Finland

Dar es Salaam. Serikali za Tanzania na Finland zimekubaliana kuongeza ushirikiano katika maeneo mbalimbali huku zikiibua ushirikiano kwenye maeneo mapya kwa manufaa ya wananchi wa pande zote mbili. Hayo yamebainishwa leo Jumatano Mei 14, 2025 Ikulu jijini Dar es Salaam na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na mgeni wake, Rais wa Finland, Alenxander Stubb ambaye…

Read More

Charles Hilary azikwa kwao Zanzibar, wakongwe wamlilia

Unguja. Wakati safari ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Charles Hillary ikitamatika rasmi kwa kupumzishwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Mjini Unguja, baadhi ya waandishi na watangazaji wakongwe wamemzungumzia kama mtu aliyekuwa chachu ya mabadiliko katika sekta ya habari. Charles alizaliwa October 22,1959…

Read More

Simba yapewa nondo za kukwepa mtego wa Berkane

SIMBA tayari ipo Morocco ikijichimbia jijini Casablanca ili kujiandaa na mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayopigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Manispaa mjini Berkane, huku kikosi hicho kikipewa nondo muhimu za kuukwepa mtego  wa wenyeji wao RS Berkane. Simba itavaana na RS Berkane katika mechi hiyo ya mkondo wa kwanza kabla…

Read More

Kitendawili, vita ya majimbo mapya

Dar/mikoani. Ingawa mgawanyo wa majimbo uliofanywa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) unahusishwa na mbinu ya kupunguza joto la ushindani katika baadhi ya majimbo, kitendawili kimebaki ni wapi kati ya mapya au yale ya zamani wabunge wanaoendelea wataenda kugombea. Wakati kitendawili hicho kikiendelea, joto la kisiasa linaendelea kupamba moto hata katika majimbo mapya,…

Read More

Charles Hillary azikwa kwao Zanzibar, wakongwe wamlilia

Unguja. Wakati safari ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Charles Hillary ikitamatika rasmi kwa kupumzishwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Mjini Unguja, baadhi ya waandishi na watangazaji wakongwe wamemzungumzia kama mtu aliyekuwa chachu ya mabadiliko katika sekta ya habari. Charles alizaliwa October 22,1959…

Read More