Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana Tanzania Yawezesha Mamlaka ya Masoko ya Mitaji Burundi Kupata Mafunzo ya Kitaalamu Yanayotambulika Kimataifa

Katika azima ya ushirikiano wa Mamlaka za Usimamizi wa Masoko ya Mitaji Afrika Mashariki (EASRA), Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewezesha wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Masoko ya Mitaji (ARMC) na wataalamu wa masoko ya mitaji kutoka Jamhuri ya Burundi kushiriki kwa mafanikio kwenye programu…

Read More

Wizara ya Madini yahamia rasmi mji wa Serikali, yatangaza mikakati yake.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma WIZARA ya Madini imehamia rasmi katika ofisi zake za mji wa serikali,huku ikitangaza mikakati rasmi ya utendaji kazi wao,ili kuweza kufikia malengo waliojiwekea hususani kuwaendeleza wachimbaji wadogo. Mbali na hilo waziri wa wizara hiyo Antony Mavunde amewasisitiza watumishi kuendelea kuchapa kazi kwa bidii ili waweze kutoa huduma stahiki kwa jamii…

Read More

USHIRIKA NGUZO YA MAENDELEO “RC MALIMA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mh. Adam Kigoma Malima, amesema ushirika ni nyenzo muhimu ya maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii na kisiasa, na kwamba vyama vya ushirika vina mchango mkubwa katika kukuza pato la taifa kupitia shughuli za uzalishaji. Akizungumza kwenye Jukwaa la Vyama vya Ushirika lililofanyika Mei 15, 2025, mkoani Morogoro, Mh. Malima…

Read More

Kutoka kituo cha majeruhi wa vita hadi Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro

Morogoro. Wakati Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro ikiadhimisha miaka 80 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1945, Serikali imeeleza hatua mbalimbali za maboresho ya miundombinu na huduma za afya zinazotekelezwa katika hospitali hiyo, hususan katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Maboresho hayo yamechangia kupunguza gharama na usumbufu kwa wagonjwa waliokuwa wakilazimika kusafiri hadi Hospitali ya…

Read More

Thamani mfuko WCF yafikia Sh748 bilioni

Dar es Salaam. Thamani ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imefikia Sh748 bilioni kutoka Sh445.3 iliyokuwapo katika mwaka 2020/2021. Thamani ya mfuko huo inatarajiwa kufikia Sh766.6 katika mwisho wa mwaka 2024/2025 wakati ambao WCF imefanikiwa kuwalipa fidia wafanyakazi na wategemezi wao wapatao 19,650 waliopata ajali, ugonjwa au kufariki wakiwa wanatimiza majukumu ya kazi zao….

Read More

Mtathimini adai mazao yaliyoharibiwa yalikuwa ya Sh33 milioni

Dar es Salaam. Mtathimini Gregory Mwampule (69) ameieleza mahakama kuwa hasara ilitokana na uharibifu wa mazao yaliyowekezwa katika kiwanja alichopewa, Askofu John Sepeku ilikuwa Sh33 milioni. Amedai kiwanja hicho chenye ukubwa wa ekari 20 kilichopo Buza Mtoni, kilipimwa mwaka 2010, kilivamiwa na mwekezaji ambaye alikata mazao mbalimbali yaliyokuwepo katika kiwanja hicho na kisha kujenga kiwanda….

Read More

TAASISI ZA UMMA NA BINAFSI KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA NIDC KUPITIA MRADI WA DIGITAL TANZANIA

Kupitia Mradi wa Digital Tanzania, taasisi za umma na binafsi haziitaji tena kuwekeza kwenye mifumo yao binafsi, bali zinahimizwa kuwekeza katika Kituo cha Kuhifadhi Data Kimtandao (NIDC) ambacho kinatoa huduma kwa gharama nafuu na kwa usalama wa uhakika. Akizungumza baada ziara ya Mhe. Kassim Majaliwa(Mb), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alipotembelea Kituo…

Read More

NIT kuwa kituo cha mitihani ya leseni za kimataifa

Dodoma. Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kwa kushirikiana na Athens Aviation Training Organization ya nchini Ugiriki imepata ithibati kutoka Wakala wa Usalama wa Anga wa Ulaya (European Aviation Safety Agency – EASA) ya kuwa Kituo cha Mitihani ya Leseni za Kimataifa kwa wahandisi matengenezo ya ndege. Hayo yameelezwa leo Alhamisi Mei 15, 2025 na…

Read More

Mwanafunzi chuo cha  KICHAS adaiwa kujiua  kisa madeni

Moshi. Mwanafunzi wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Kilimanjaro (KICHAS), Erick Sawe(21) anadaiwa kujiua kwa kujinyonga chooni katika nyumba aliyokuwa amepanga eneo la Kiriwa chini, Kata ya Rau Manispaa ya Moshi, huku chanzo cha kifo hicho kikidaiwa ni wingi wa madeni. Mwanafunzi huyo wa mwaka wa pili katika idara ya fiziotherapia (mazoezi kwa tiba)…

Read More