Waziri Jafo, Mpina washukiana bungeni

Dodoma. Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina amelitaka Bunge kupitisha Azimio la kuifuta Wizara ya Viwanda na Biashara inayoongozwa na Dk Seleman Jafo, akisema imekuwa mwiba wa kuua biashara. Hata hivyo, mwenye mamlaka ya kufuta au kuanzisha wizara ni Rais wa nchi hivyo Bunge halina mamlaka ya kufuta wizara kama alivyopendekeza waziri huyo wa zamani…

Read More

Huyu ndiye Mtanzania atakayeiongoza Visa Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Kampuni inayoongoza duniani katika malipo ya kidijitali, imemteua Victor Makere kuwa Meneja mpya wa nchi za Tanzania, Uganda, Burundi na Rwanda. Victor ambaye ni raia wa Tanzania atakuwa na jukumu la kuongoza ukuaji wa kimkakati wa Visa, kuboresha uhusiano na wateja, na kupanua suluhisho za malipo ya kidijitali katika masoko hayo muhimu….

Read More

Sera ya Taifa ya Bima yaja

Dodoma. Serikali imesema inaendelea kuyafanyia kazi maoni ya wadau wa sekta ya bima nchini ili kuboresha rasimu Sera ya Taifa ya Bima, inayolenga kuboresha maisha ya wananchi na kuongeza mchango wa sekta ndogo ya bima katika pato la Taifa. Hayo yamesemwa leo Mei 14, 2025 na Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande wakati akijibu…

Read More

Zelensky adai Putin anamuogopa, ataja sababu

Kyiv. Rais, Volodymyr Zelensky wa Ukraine amesema yupo tayari kuonana na kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Rais, Vladimir Putin wa Russia. Zelensky ametoa kauli hiyo leo Jumatano Mei 14, 2025, huku akimkejeli Rais Putin kuwa anaogopa kuonana naye hususan kwenye mkutano uliopangwa kufanyika Alhamisi wiki hii. Hata hivyo, Russia bado haijathibitisha iwapo Rais…

Read More

UWEKEZAJI WA NSSF MKULAZI WAONGEZA AJIRA KWA WANANCHI NA UZALISHAJI SUKARI

Morogoro. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kudhihirisha mafanikio ya uwekezaji wake mkubwa katika sekta ya viwanda kupitia mradi wa kimkakati wa kiwanda cha sukari cha Mkulazi kilichoko mkoani Morogoro, ambacho kimeanza rasmi uzalisha Julai 2024, kimezalisha ajira kwa Watanzania na kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii kwa Wananchi. Akizungumza wakati wa…

Read More

Trafiki wawili wafariki dunia kwa kupigwa na radi

Mirerani. Askari wawili wa usalama barabarani kutoka Kituo cha Polisi Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakiwa kazini. Tukio hilo limetokea wakati askari hao wakiendelea na majukumu yao ya kudhibiti usalama wa barabarani, ambapo ghafla mvua iliyokuwa ikinyesha iliambatana na radi iliyosababisha vifo hivyo. Kamanda wa Polisi wa Mkoa…

Read More