MAWAZIRI WA SADC WAKUTANA KUJADILI USIMAMIZI WA MAAFA

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. Ummy Nderiananga, ameshiriki mkutano wa dharura wa Kamati ya Mawaziri wanaohusika na Usimamizi wa Maafa kwa Nchi Wanachama wa SADC, uliofanyika leo tarehe 13 Mei 2025 kwa njia ya mtandao. Mkutano huo wa dharura umelenga kujadili hatua za kuimarisha mfumo wa usimamizi wa maafa…

Read More

KUMEKUCHA: Waliokuwa ‘team’ Mbowe watema nyongo, wawashangaa waliojiengua

Dar es Salaam. Usemi wa “ukimwaga mboga, namwaga ugali” unaonekana kuchukua sura halisi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufuatia kuibuka kwa kundi la makada waliowahi kumuunga mkono aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe kipindi cha uchaguzi mkuu ndani ya chama hicho, ambao sasa wanawashangaa wenzao wanaojiondoa kwa madai ya kubaguliwa. Kwa…

Read More

Ulega akoleza moto, aunda kamati kuchunguza kivuko

Dar es Salaam. Siku moja baada ya kumsimamisha mkandarasi anayejenga barabara ya Mkange hadi Bagamoyo (Makurunge) mkoani Pwani, Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ameunda timu ya wataalamu na kuchunguza changamoto za mara kwa mara katika Kivuko cha MV TANGA. Kivuko hicho kilichopo wilayani Pangani mkoani Pwani, baada ya kupokea malalamiko ya wananchi kuhusu kusuasua kwa…

Read More

Chadema yamjibu Msajili sakata la uteuzi

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemjibu Msajili wa Vyama vya Siasa, kikisema hakitabadilisha chochote katika maelekezo waliyopewa na ofisi hiyo, kwa maelezo kuwa walishafunga  mjadala kuhusu kikao cha Baraza Kuu. Msimamo huo wa Chadema umekuja baada ya jana Jumatatu Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kutengua uteuzi wa wajumbe wanane…

Read More

Ponografia za watoto mtandaoni zaongezeka, wadau wataka udhibiti

Dar es Salaam. Wadau wametaka sheria kali zichukuliwe kwa watu wanaosambaza ponographia za watoto katika mitandao ya kijamii ili iwe fundisho kwa wengine wanaotamani kufanya hivyo. Hilo liende sambamba na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuimarisha ushirikiano na kampuni kubwa zinazomiliki mitandao ya kijamii kama Meta, ili kusaidia kudhibiti maudhui hayo moja kwa moja ikiwa…

Read More

ULEGA AUNDA TIMU KUCHUNGUZA KIVUKO CHA MV TANGA

:::::: Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ameunda timu ya wataalamu na kuipa siku saba kuchunguza changamoto zinazojitokeza mara kwa mara katika Kivuko cha MV TANGA kilichopo wilayani Pangani, mkoani Tanga, baada ya kupokea malalamiko ya wananchi kuhusu kusuasua kwa utendaji wake. Akizungumza kwa nyakati tofauti mkoani humo, Ulega amesema serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan…

Read More

Treni ya Mwakyembe yapata ajali, chanzo chatajwa

Dar es Salaam. Treni ya abiria katika jiji la Dar es Salaam, inayofanya safari zake kati ya Kariakoo na Pugu, imepata ajali huku sababu ikitajwa kuwa ni mabehewa matatu kuacha njia. Katika ajali hiyo, watu saba walijeruhiwa na kupelekwa hospitali ya Amana, hata hivyo walipata msaada wa haraka kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Akizungumza…

Read More