Tasaf awamu ya tatu kujikita kwenye mabadiliko ya tabianchi

Unguja. Awamu ya pili ya utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) inapoelekea ukingoni, maandalizi ya awamu mpya yanayoanza Oktoba mwaka huu yanaendelea. Kipaumbele kikubwa kitawekwa kwenye miradi ya ajira za muda na ustawi wa kaya zinazolenga kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na kuongeza kipato kwa wananchi. Pamoja na kwamba vipengele vya…

Read More

Tuache kauli za ukatili, dharau kwa wauguzi

Njombe. Jamii imetakiwa kuwaheshimu na kuwathamini wauguzi kama kundi muhimu linalochukua nafasi ya kipekee katika uhai na mfumo wa afya kwa kuepuka vitendo vya ukatili wa maneno, dharau na lawama zisizo na msingi. Wito huo umetolewa leo Jumanne Mei 13, 2025 na wauguzi mkoani Njombe wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani ambayo imefanyika…

Read More

Bosi mpya Tanesco aanza na umeme Mbagala

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange ametangaza awamu ya kwanza ya kituo cha kupoza umeme cha Mbagala kilichoboreshwa kimeanza rasmi kufanya kazi huku kikizalisha megawati 50 za umeme. Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua kituo hicho kilichopo Mbagala, leo Jumanne, Mei 13, 2025, Twange amesema uwezo huo mpya…

Read More

TBS Kuandaa Viwango Nishati Safi ya Kupikia

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limechukua hatua ya kuandaa viwango vya ubora kwa bidhaa za nishati safi ya kupikia, ikiwa ni sehemu ya jitihada za serikali kuhakikisha usalama wa afya ya wananchi na kuhifadhi mazingira. Hatua hii inalenga kuhakikisha kuwa bidhaa hizo (nishati na teknolojia) zinazotumika nchini zinazingatia ubora na…

Read More

‘Tuwaheshimu, kuwathamini wauguzi’ | Mwananchi

Njombe. Jamii imetakiwa kuwaheshimu na kuwathamini wauguzi kama kundi muhimu linalochukua nafasi ya kipekee katika uhai na mfumo wa afya kwa kuepuka vitendo vya ukatili wa maneno, dharau na lawama zisizo na msingi. Wito huo umetolewa leo Jumanne Mei 13, 2025 na wauguzi mkoani Njombe wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani ambayo imefanyika…

Read More

Tanesco yawatangazia neema wakazi wa Mbagala

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange ametangaza awamu ya kwanza ya kituo cha kupoza umeme cha Mbagala kilichoboreshwa kimeanza rasmi kufanya kazi huku kikizalisha megawati 50 za umeme. Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua kituo hicho kilichopo Mbagala, leo Jumanne, Mei 13, 2025, Twange amesema uwezo huo mpya…

Read More

Suzan Kiwanga, vigogo wengine watatu waondoka Chadema

Morogoro. Viongozi wanne wa Chadema kutoka wilaya za Kilosa, Kilombero na Halmashauri ya Mlimba, mkoani Morogoro na wanachama wengine 50, wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho. Wamesema wamefikia uamuzi huo kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo msimamo wa chama wa kutoshiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Viongozi wa Chadema walioondoka ni pamoja na aliyekuwa Mbunge wa…

Read More