Suzan Kiwanga, vigogo wengine watatu waondoka Chadema

Morogoro. Viongozi wanne wa Chadema kutoka wilaya za Kilosa, Kilombero na Halmashauri ya Mlimba, mkoani Morogoro na wanachama wengine 50, wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho. Wamesema wamefikia uamuzi huo kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo msimamo wa chama wa kutoshiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Viongozi wa Chadema walioondoka ni pamoja na aliyekuwa Mbunge wa…

Read More

Beki Mazembe afichua dili lake Yanga

ENEO la ulinzi katika kikosi cha Yanga limekuwa moto kama ilivyo pale mbele ambapo kuna mashinde za mabao zinazowapa raha mashabiki wa timu hiyo yenye makao yake mitaa ya Twiga na Jangwani jijini Dar es Salaam. Raha ya mashabiki wa kikosi hicho haiishii kuwaona nyota wao wanaocheza maeneo hayo, lakini kuna mastaa  wengine wanaofanya vizuri…

Read More

Simba, Musonda kuna kitu | Mwanaspoti

MAMBO ni moto na muda ni mchache. Simba itakuwa Morocco kukipiga na RS Berkane katika mechi inayotarajiwa kuwa ngumu na yenye hisia tofauti ya Kombe la Shirikisho Afrika, kwani wiki ijayo itakuwa jijini Dar es Salaam kukamilisha ratiba na kukabidhiwa ndoo ya ubingwa. Hata hivyo, ubingwa utanogeshwa zaidi na utamu Msimbazi kwani mashabiki wa Wekundu…

Read More

Nyota Tanzania Prisons wapata ahueni

TANZANIA Prisons kukaa nafasi ya 11 katika Msimamo wa Ligi Kuu ikiwa imecheza mechi 28, imeshinda nane, sare sita, imefungwa 14 na kukusanya pointi 30 ni kicheko kwa wachezaji wa timu hiyo wakiamini kwamba wamepata ahueni. Kipa wa timu hiyo, Mussa Mbisa amesema walikuwa wanaishi kwa presha kubwa na kuumiza vichwa namna ya kuhakikisha timu…

Read More

Kesi kuporomoka jengo Kariakoo yaendelea kupigwa kalenda

Dar es Salaam. Upande wa mashitaka umedai bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili watu sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, Dar es Salaam. Wakili wa Serikali, Erick Kamala ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Jumanne Mei 13, 2025, wakati kesi hiyo…

Read More