Zelensky adai Putin anamuogopa, ataja sababu

Kyiv. Rais, Volodymyr Zelensky wa Ukraine amesema yupo tayari kuonana na kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Rais, Vladimir Putin wa Russia. Zelensky ametoa kauli hiyo leo Jumatano Mei 14, 2025, huku akimkejeli Rais Putin kuwa anaogopa kuonana naye hususan kwenye mkutano uliopangwa kufanyika Alhamisi wiki hii. Hata hivyo, Russia bado haijathibitisha iwapo Rais…

Read More

UWEKEZAJI WA NSSF MKULAZI WAONGEZA AJIRA KWA WANANCHI NA UZALISHAJI SUKARI

Morogoro. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kudhihirisha mafanikio ya uwekezaji wake mkubwa katika sekta ya viwanda kupitia mradi wa kimkakati wa kiwanda cha sukari cha Mkulazi kilichoko mkoani Morogoro, ambacho kimeanza rasmi uzalisha Julai 2024, kimezalisha ajira kwa Watanzania na kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii kwa Wananchi. Akizungumza wakati wa…

Read More

Trafiki wawili wafariki dunia kwa kupigwa na radi

Mirerani. Askari wawili wa usalama barabarani kutoka Kituo cha Polisi Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakiwa kazini. Tukio hilo limetokea wakati askari hao wakiendelea na majukumu yao ya kudhibiti usalama wa barabarani, ambapo ghafla mvua iliyokuwa ikinyesha iliambatana na radi iliyosababisha vifo hivyo. Kamanda wa Polisi wa Mkoa…

Read More

Trafiki wawili Mirerani wafariki dunia kwa kupigwa na radi

Mirerani. Askari wawili wa usalama barabarani kutoka Kituo cha Polisi Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakiwa kazini. Tukio hilo limetokea wakati askari hao wakiendelea na majukumu yao ya kudhibiti usalama wa barabarani, ambapo ghafla mvua iliyokuwa ikinyesha iliambatana na radi iliyosababisha vifo hivyo. Kamanda wa Polisi wa Mkoa…

Read More

Utapeli wa ‘tuma kwenye namba hii’ unavyoshika kasi

Dar/Moshi. Nani wanasajili laini hizi kwa alama za vidole? ni swali ambalo Watanzania wengi wanajiuliza kufuatia kuongezeka kwa vitendo vya utapeli mitandaoni, huku meseji za ‘tuma kwenye namba hii,’ zikiongezeka kwa kasi. Malalamiko ya wananchi wanaomiliki simu za kiganjani kupokea meseji za aina hiyo kila uchao yanasikika kutoka kusini hadi kaskazini mwa Tanzania na magharibi…

Read More

Janga la asili ambalo limeathiri watu wengi ulimwenguni kuliko maswala mengine yoyote ya ulimwengu

Mifugo mashariki mwa Mauritania inakufa kwa sababu ya ukame. Mikopo: UNHCR/Caroline Irby Maoni na Danielle Nierenberg (Baltimore, Maryland) Jumatano, Mei 14, 2025 Huduma ya waandishi wa habari BALTIMORE, Maryland, Mei 14 (IPS) – Hapa kuna swali: Katika miaka 40 iliyopita, ni janga gani la asili ambalo limeathiri watu wengi kote ulimwenguni kuliko nyingine yoyote? Jibu,…

Read More

FEDHA ZA CSR ZA BARRICK BULYANHULU KUENDELEA KUFANIKISHA MIRADI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA NYANG’HWALE

Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Johan Labuschagne (kushoto) akibadilishana mkataba na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Nyang’hwale, John Isack. John (kulia) ambapo mgodi utatoa kiasi cha shilingi bilioni 1.07 kutekeleza miradi ya CSR mwaka huu, wanaoshuhudia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Nyang’hwale, Ezekiel Ntiriyo na (katikati) ni Katibu Tawala wa wilaya…

Read More