NIKWAMBIE MAMA: Hivi wote tunakijua tunacho kichagua?

Watanzania ni watu wanaohitaji elimu kila sekunde. Huwa wanafurahishwa bila kujua kinachowafurahisha, na wakati mwingine wanachukizwa bila kulijua chukizo lao. Wanaweza kuingia taabuni kutokana na watu wabaya wanaowazunguka, lakini wakawa tayari kuwalinda watu hao wawe ni ndugu au wahamiaji haramu. Inawezekana maisha ya kidugu waliyozoeshwa ndiyo sababu ya tabu zao. Ni watu wasiopenda kujifunza kutokana…

Read More

Papa Leo XIV afuata nyayo za watangulizi wake

Vatican. Papa Leo XIV amechapisha ujumbe wake wa kwanza kwenye akaunti rasmi za mitandao ya kijamii za Papa, ambazo awali zilitumiwa na watangulizi wake, Papa Francis na Papa Benedict XVI. Papa Leo XIV ameamua kuendeleza mwenendo wa watangulizi hao kwenye mitandao wa X na Instagram. Idara ya Mawasiliano ya Vatican imethibitisha Papa kuandika machapisho hayo…

Read More

‘Taasisi zetu dhaifu na zenye ufisadi zilichelewa sana kushughulikia udanganyifu ambao ulisababisha demokrasia’ – maswala ya ulimwengu

na Civicus Jumatano, Mei 14, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Mei 14 (IPS) – Civicus anajadili uchaguzi wa rais wa Romania na Anda Serban, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Rasilimali kwa Ushiriki wa Umma (CERE), Shirika la Asasi ya Kiraia (CSO) ambayo inazingatia ushiriki wa umma na uwazi katika michakato ya kufanya maamuzi. Romania…

Read More

Siku 35 zaipa akili mpya Coastal Union

BAADA ya kumalizana na Tanzania Prisons, sasa Coastal Union ina takribani siku 35 za kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate. Wakati kikosi hicho kikiwa na muda huo kutokana na hapo kati ligi kusimama, kocha wa kikosi hicho, Joseph Lazaro amepanga kuandaa program maalum itakayowafanya wachezaji kuendelea kuwa fiti. Timu…

Read More

Josiah anazitaka nne ngumu Tanzania Prisons

USHINDI katika mechi nne mfululizo umeonekana kuipa nguvu Tanzania Prisons, huku Kocha Mkuu wa timu hiyo, Aman Josiah akiamini mechi mbili zilizobaki dhidi ya Yanga na Singida Black Stars atapata pointi nne anazozitaka ili timu iwe salama. Ushindi wa pointi nne ambazo zinaonekana kuwa ngumu utakinasua moja kwa moja kikosi hicho na janga la kushuka…

Read More

Mambo matatu kuibeba Simba Morocco

KOCHA wa Simba, Msauzi Fadlu Davids anaamini kuna mambo matatu muhimu ambayo yanaweza kuibeba Simba kwenye mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco Jumamosi hii. Simba ambayo itaweka kambi ya siku kadhaa nchini Morocco kuanzia Jumatano hii, itakuwa pia na programu ya mazoezi ikilenga kuzoea hali…

Read More