Fyatu anaweza kuzuia kutupiwa-tupiwa viatu

Baada ya mafyatu wa kaya jirani kumfyatua fyatu wao mnene, nimeogopa. Si juzi walimfyatua kwa kiatu kiasi cha kumtia aibu na gadhabu! Sijui hakupata shinikizo la moyo kwa namna alivyoaibishwa mchana kweupe. Japo simsikitikii, amenisaidia kuanza kujihami. Maana mafyatu wangu kwa kuigiza, asikwambie fyatu. Hivyo, nina mikakati ya kuepuka aibu hii. Ni aibu kiasi gani…

Read More

TUTAKWENDA KUWA CHACHU YA UONGOZI – MKURUGENZI TACAIDS

Na Khadija Kalili, Michuzi Tv WAHITIMU wa mafunzo kutoka Taasisi za Umma na wametakiwa kwenda kuwa mabalozi wazuri na kuleta mabadiliko katika sehemu wanazoziongoza sambamba na kuwathamini wananchi wa hali ya chini. “Elimu hii mliyoipata katika mafunzo yenu ya siku tano mkaifikishe mbali , binafsi nimevutiwa sana na mbinu za mafunzo haya ambapo Uongozi wa…

Read More

Huu ndio msimamo wa Rungwe kwa makada Chadema

Dar es Salaam. Wakati jinamizi likiendelea kukitikisa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mamia ya wanachama wake wametangaza kukihama chama hicho huku wakitajwa kuhamia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma). Licha ya kwamba wanachama hao hawajaweka bayana chama wanachokwenda kujiunga, duru za ndani zinaeleza kwamba waliokuwa viongozi na wanachama wengine wanakusudia kujiunga na Chaumma kuendeleza…

Read More

NAIBU WAZIRI UMMY AZINDUA MIRADI YA KIUCHUMI YA WENYE ULEMAVU

  Na Mwandishi wetu- Dar es salaam  Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga amezindua miradi ya kiuchumi ambayo iko chini ya  Shirika lisilo la Kiserikali la Strategic Alternative Learning Technique (SALT), inayohudumiwa na vijana wenye changamoto za ufahamu. Mhe. Nderiananga alifanya uzinduzi huo Jijini Dar es Salaam kwa…

Read More

WAZIRI JAFO AIPONGEZA WMA KUSIMAMIA KIKAMILIFU UBORA WA BIDHAA ZINAZOZALISHWA VIWANDANI

  WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akizungumza leo Mei 13,2025,jijini Dodoma,katika Kikao cha Menejimenti ya Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) cha kufanya tathmini ya utekelezaji wa bajeti katika kipindi cha bajeti ya 2024-2025. Na.Alex Sonna-DODOMA WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,ameupongeza Wakala wa Vipimo (WMA) kwa kuendelea kusimamia kikamilifu ubora wa bidhaa zinazozalishwa viwandani lengo…

Read More

Askofu: Charles Hillary mtu makini, alipenda kanisa

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam, Jackson Sosthenes amesema Charles Hillary. alikuwa mtu makini na alilipenda kanisa. Kabla ya umauti, Charles alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Charles alifariki dunia Mei 11, 2025 wakati akipelekwa Hospitali…

Read More