MIAKA 20 GEREZANI KWA KUHUJUMU MRADI WA ETDCO
Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA ya Wilaya ya Lugoba, Halmashauri ya Chalinze Mkoani Pwani, imewahukumu watu wawili, Mayunga Senteu na Muganyi Makulu, kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kuiba na kuharibu miundombinu ya umeme. Wawili hao walikutwa na hatia ya kuiba nyaya za umeme aina ya ACSR kutoka katika…