Fursa mpya, vilio mgawanyo wa majimbo

Dar es Salaam. Utamu na uchungu, ndiyo maneno mafupi yanayoakisi kilichoelezwa na wadau wa siasa kuhusu matokeo ya uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kugawanya majimbo. Mgawanyo huo umesababisha kuzaliwa kwa majimbo mapya manane ya uchaguzi na hivyo, kufanya uchaguzi wa baadaye mwaka huu uhusishe jumla ya majimbo 272, Tanzania Bara na…

Read More

Mawaziri wa zamani wa Nishati kutoka Saint Lucia na Uruguay waliitwa Mabingwa wa Nishati Mbadala – Maswala ya Ulimwenguni

Dk James Fletcher (kushoto) na Ramón Méndez Galain (kulia) wakati wa uzinduzi wa mpango wa Mabingwa wa Nishati Mbadala wa Ren21 huko Miami. Mikopo: Alison Kentish/IPS na Alison Kentish (Miami, Florida, USA) Jumatatu, Mei 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Miami, Florida, USA, Mei 12 (IPS) – Mtandao wa sera ya nishati mbadala kwa…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUTOA MAFUNZO KWA WALIMU 70,657 UTEKELEZAJI MITAALA ILIYOBORESHWA, YAANZA MAPITIO SHERIA YA ELIMU

Tarehe 1 Februari 2025 Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alizindua rasmi Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Toleo la 2023 inayolenga kutoa elimu inayozingatia ujuzi kulingana na mahitaji ya soko la ajira na kuchangia katika maendeleo ya Taifa. Serikali imeendelea kutoa mafunzo kwa walimu ikiwemo utekelezaji…

Read More

Wafanyabiashara Iringa wafungua maduka, wananchi wapata ahueni

‎Iringa. Baada ya saa kadhaa za sintofahamu, hatimaye wafanyabiashara katika Mkoa wa Iringa wamefungua maduka yao na wananchi wameanza kupata huduma za manunuzi ya bidhaa mbalimbali, hatua inayowapa ahueni. ‎Akizungumza na Mwananchi Digital Leo Mei 12, 2025, Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara mkoani Iringa, Benito Mtende amesema kuwa wamefanikiwa kuzungumza na Mkuu wa Mkoa wa…

Read More

Prisons yainyuka Coastal, yaiweka pabaya Kagera 

Ushindi wa mabao 2-1 iliyopata Tanzania Prisons dhidi ya Coastal Union unaiweka katika presha kubwa Kagera Sugar ambayo baadaye itakuwa kibaruani mbele ya Mashujaa. Hii ni kutokana na vita ya kukwepa kushuka daraja baada ya KenGold kutangulia mapema na kuziachia msala timu zilizopo juu yake katika msimamo kila mmoja kujipambania kivyake kubaki salama Ligi Kuu…

Read More

WAHUKUMIWA MIAKA 20 GEREZANI KWA KUHUJUMU MRADI WA ETDCO

………………… Mahakama ya Wilaya ya Lugoba, Halmashauri ya Chalinze Mkoani Pwani, imewahukumu watu wawili, Mayunga Senteu na Muganyi Makulu, kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kuiba na kuharibu miundombinu ya umeme. Wawili hao walikutwa na hatia ya kuiba nyaya za umeme aina ya ACSR kutoka katika laini ya…

Read More

Wadau wataka habari bunifu zipewe nafasi

Dar es Salaam. Wadau wa masuala ya ubunifu wamevitaka vyombo vya habari nchini kuongeza kasi ya uandishi wa habari za ubunifu kwa sababu ndiyo dunia inakokwenda. Ili kufanikisha hilo, wametaka waandishi wa habari kujengewa uwezo wawe wabobezi wa eneo hilo ili kuondoa ombwe lililopo sasa la kuandika vitu wasivyovifahamu kwa undani. Hayo yamesemwa leo Mei…

Read More

Kesi ya Boni Yai, yaendelea kupigwa kalenda

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya kusambaza taarifa za uongo inayomkabili meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, haujakamilika. Wakili wa Serikali, Erick Kamala ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Mei 12, 2025 wakati kesi hiyo ilipotajwa. Jacob ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, anakabiliwa na mashitaka mawili ya…

Read More