WANAFUNZI WATUMIA MITUMBWI MIAKA 10 KWENDA S

Wananchi wa Iyozu wakivuka na mtumbwi kuingia upande wa pili.::::::::: Na Daniel Limbe,Torch media WANAFUNZI wa kitongoji cha Iyozu kata ya Muungano wilayani Chato mkoani Geita wanalazimika kutumia mitumbwi kutoka kwenye makazi yao kwenda shuleni kutokana na mvua kubwa zilizonyesha miaka 13 iliyopita kukata mawasiliano ya kitongoji hicho kwenda kwenye kijiji cha Rubambangwe. Inaelezwa kuwa…

Read More

Wabunge walia na upungufu, ubora wa walimu

Dodoma. Uhaba wa walimu na upatikanaji wenye ubora watakaoendana na mtaala mpya wa mafunzo ya amali unaotumika sasa umekuwa ndiyo kilio cha wabunge wakiitaka Serikali itatue changamoto hiyo haraka. Hayo yamejitokeza katika mjadala wa siku mbili jana na leo Jumanne, Mei 13, 2025, kuhusu bajeti ya Wizara ya Wizara ya Elimu kwa mwaka 2025/26, iliyowasilishwa…

Read More

Dube aendeleza moto, Yanga ikijikita kileleni

YANGA haijapoa, imeendelea kugawa vipigo ikiichapa Namungo ya Lindi mabao 3-0 huku majukwaani wakiendelea kupaza sauti kwamba ‘Hatuchezi’. Ushindi huo ambao Yanga ilikuwa inacheza mechi yake ya 27 msimu huu, unakuwa wa 24 ikiendelea kujikita kileleni mwa msimamo ikifikisha pointi 73. DAKIKA 23 NGUMUDakika 23 za kwanza zilikuwa ngumu kuamini kama Namungo ingepoteza kwa idadi…

Read More

Meli kubwa nne kujengwa Ziwa Tanganyika, wabunge wanena

Katavi. Wananchi wa mikoa inayopitiwa na Ziwa Tanganyika Rukwa, Katavi na Kigoma watanufaika baada ya kukamilika kwa ujenzi wa meli kubwa nne za mizigo zinazojengwa katika Bandari ya Karema. Meli hizo ambazo kila moja itakuwa na uwezo wa kubeba tani 60,000 kwa mwezi, ujenzi wake unatarajia kukamilika Julai, 2026 na tayari wananchi wa eneo la…

Read More

Tasaf awamu ya tatu kujikita kwenye mabadiliko ya tabianchi

Unguja. Awamu ya pili ya utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) inapoelekea ukingoni, maandalizi ya awamu mpya yanayoanza Oktoba mwaka huu yanaendelea. Kipaumbele kikubwa kitawekwa kwenye miradi ya ajira za muda na ustawi wa kaya zinazolenga kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na kuongeza kipato kwa wananchi. Pamoja na kwamba vipengele vya…

Read More

Tuache kauli za ukatili, dharau kwa wauguzi

Njombe. Jamii imetakiwa kuwaheshimu na kuwathamini wauguzi kama kundi muhimu linalochukua nafasi ya kipekee katika uhai na mfumo wa afya kwa kuepuka vitendo vya ukatili wa maneno, dharau na lawama zisizo na msingi. Wito huo umetolewa leo Jumanne Mei 13, 2025 na wauguzi mkoani Njombe wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani ambayo imefanyika…

Read More

Bosi mpya Tanesco aanza na umeme Mbagala

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange ametangaza awamu ya kwanza ya kituo cha kupoza umeme cha Mbagala kilichoboreshwa kimeanza rasmi kufanya kazi huku kikizalisha megawati 50 za umeme. Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua kituo hicho kilichopo Mbagala, leo Jumanne, Mei 13, 2025, Twange amesema uwezo huo mpya…

Read More

TBS Kuandaa Viwango Nishati Safi ya Kupikia

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limechukua hatua ya kuandaa viwango vya ubora kwa bidhaa za nishati safi ya kupikia, ikiwa ni sehemu ya jitihada za serikali kuhakikisha usalama wa afya ya wananchi na kuhifadhi mazingira. Hatua hii inalenga kuhakikisha kuwa bidhaa hizo (nishati na teknolojia) zinazotumika nchini zinazingatia ubora na…

Read More

‘Tuwaheshimu, kuwathamini wauguzi’ | Mwananchi

Njombe. Jamii imetakiwa kuwaheshimu na kuwathamini wauguzi kama kundi muhimu linalochukua nafasi ya kipekee katika uhai na mfumo wa afya kwa kuepuka vitendo vya ukatili wa maneno, dharau na lawama zisizo na msingi. Wito huo umetolewa leo Jumanne Mei 13, 2025 na wauguzi mkoani Njombe wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani ambayo imefanyika…

Read More

Tanesco yawatangazia neema wakazi wa Mbagala

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange ametangaza awamu ya kwanza ya kituo cha kupoza umeme cha Mbagala kilichoboreshwa kimeanza rasmi kufanya kazi huku kikizalisha megawati 50 za umeme. Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua kituo hicho kilichopo Mbagala, leo Jumanne, Mei 13, 2025, Twange amesema uwezo huo mpya…

Read More