Kipa Mtibwa awapiga mkwara Camara, Diarra

SAA chache baada ya kuiwezesha Mtibwa Sugar kupanda daraja na kunyakua ubingwa wa Ligi ya Championship, kipa Costantine Malimi amesema kwa sasa ameiva na yuko tayari kwa mikikimikiki ya Ligi Kuu Bara na kuonyesha ushindani dhidi ya Moussa Camara wa Simba na Djigui Diarra wa Yanga. Malimi amekuwa mhimili mkubwa kwenye mafanikio ya Mtibwa Sugar…

Read More

Kesi ya rasilimali Chadema ni pingamizi juu ya pingamizi

Dar es Salaam. Kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali inayokikabili Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imegubikwa na pingamizi, kila upande ukiuwekea mwingine. Kesi hiyo, inayosikilizwa na Jaji Hamidu Mwanga katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imetajwa mara ya pili leo Jumatatu, Mei 12, 2025. Jopo la mawakili wa Chadema linaloongozwa na…

Read More

Kipigo cha 2-1 chaiamsha KMC FC

KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Simba kimeizindua KMC, ambapo kaimu kocha wa timu hiyo, Adam Mbwana amesema wanayafanyia kazi makosa yaliyowaangusha juzi kwani bado kikosi kina ubora wa kuweza kuhimili vishindo wakati Ligi Kuu ikienda ukingoni. KMC ilikumbana na kipigo hicho juzi kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam ikiwa chini ya Mbwana…

Read More

Msuya aagwa, viongozi wa dini waonya rafu za uchaguzi

Mwanga. Wakati mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya, ukiagwa katika viwanja vya CD Msuya, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, viongozi wa dini wameonya rafu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Wamesema viongozi wazuri ni wale wanaochaguliwa na wananchi, na si wale wanaogawa fedha chafu kipindi cha…

Read More

Umoja wa wafanyikazi unahitaji ushiriki kamili na kikamilifu katika mazungumzo yanayoendelea juu ya mageuzi ya UN – maswala ya ulimwengu

Maandamano ndani ya mipaka ya Sekretarieti ya UN huko New York. Maoni na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa) Jumatatu, Mei 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Mei 12 (IPS)-kama majadiliano juu ya urekebishaji wa Umoja wa Mataifa-pamoja na ujumuishaji unaowezekana wa wakala wa UN na mfumo wa wafanyikazi wa upanaji-endelea katika…

Read More

Sh131.3 bilioni kutekeleza vipaumbele tisa, Katiba na Sheria

Unguja. Wizara ya Katiba, Sheria Utumishi na Utawala Bora, imepanga kutekeleza vipaumbele tisa huku ikiliomba Baraza la Wawakilishi kuidhinisha Sh131.337 bilioni. Miongoni mwa vipaumbele hivyo ni kuendeleza matumizi ya mifumo ya kielektroniki katika utumishi wa umma, kukamilisha na kuendeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa miundombinu ya Mahakama. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti…

Read More