Wafanyabiashara Iringa wafunga maduka, wananchi wahaha

‎Iringa. Wananchi wa Mkoa wa Iringa wamejikuta katika hali ya taharuki na usumbufu, kufuatia kufungwa kwa biashara nyingi katikati ya mji kuanzia asubuhi ya leo, Mei 12, 2025. ‎Tukio hilo limeathiri upatikanaji wa huduma na bidhaa muhimu kwa wakazi wa Iringa, ambao kwa kawaida hutegemea sana biashara za mjini kwa mahitaji yao ya kila siku….

Read More

INEC yatangaza majimbo mapya manane 

Dodoma. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza majimbo mapya nane na hivyo kufanya jumla ya majimbo ya uchaguzi kufikia 272. Aidha, INEC imeongeza idadi ya kata tano na hivyo kufanya idadi zitakazofanyika uchaguzi mkuu kufikia kata 3,960. Mchakato wa kupokea maoni ya kubadilisha na kugawanywa kwa majimbo ya uchaguzi na kata za uchaguzi…

Read More

Mapinduzi: Nililia mwenyewe kisa majeraha

Ilikuwa Januari 4, 2020 mchezo mkubwa Tanzania Simba na Yanga zipo Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, wekundu hao wakitangulia kwa mabao 2- 0 ya mshambuliaji Meddie Kagere na winga Deo Kanda. Simba walikuwa wanaona kama ni siku yao lakini kumbe haikuwa hivyo, akatoka kijana mmoja mfupi wa kimo mwenye utundu wa miguu…

Read More

Singida Black Stars yaanza kuzidai pesa za Gomez

MABOSI wa Singida Black Stars wameiandikia barua Wydad Casablanca ya Morocco kudai malipo ya mauzo ya mshambuliaji, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ waliyemuuza kupitia dirisha dogo la usajili akitokea Fountain Gate aliyokuwa akiitumikia kwa mkopo. Inadaiwa kuwa, tayari Singida BS imetoa siku 14 kwa Wydad kutekeleza makubaliano yao ya kuuziana mchezaji huyo kabla haijakimbilia Shirikisho la Soka…

Read More