Mnoga amaliza kibabe chama jipya la Beckham

BEKI wa Kitanzania, Haji Mnoga anayekipiga Salford City ya England amemaliza kibabe msimu akifunga bao moja na asisti nne. Huu ni msimu wa kwanza kwa beki huyo wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kuitumikia timu hiyo akitokea Aldershot aliyeichezea kwa misimu miwili. Mnoga alicheza mechi 39 kati ya 46 za timu hiyo kwa dakika 3306…

Read More

Rais Bigman, Katwila waitana mezani

RAIS wa Bigman FC, Ahmed Waziri Gao, amesema baada ya msimu kuisha watakaa chini na kocha wa timu hiyo, Zubery Katwila kwa lengo la kujua hatima yake katika kikosi hicho kwa msimu ujao, baada ya mkataba wake aliousaini kufikia rasmi ukomo. Akizungumza na Mwanaspoti, Gao alisema licha ya kutotimiza malengo ya kupanda Ligi Kuu Bara…

Read More

Iringa kujenga uwanja wa gofu

MKOA wa Iringa umeanza mkakati wa kujenga uwanja wa kisasa wa gofu utakaojulikana kama Mkwawa Golf Course ili kuendeleza mchezo huo mkoani huo na nchini kwa jumla. Kwa miaka mingi Iringa imekuwa na uwanja mmoja wa gofu wa Mufindi uliojengwa na Kampuni ya kikoloni ya Brooke Bond uliopo katika mashamba ya chai na wazo hilo…

Read More

SAMIRA ASHEREHEKEA SIKU YA MAMA DUNIANI NA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI KABINDI, AKABIDHI MATENKI, MASHUKA NA MOTISHA KWA WALIMU

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kagera na pia Mjumbe wa Kamati ya Uchumi, Fedha na Mipango UWT Taifa, Bi. Samira Khalfan, ameadhimisha Siku ya Mama Duniani kwa kuwatembelea wanafunzi wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi Kabindi, wilayani Biharamulo. Ziara hiyo ililenga kuonyesha upendo, mshikamano na kuwapa faraja wanafunzi hao kwa kusherehekea…

Read More

Beki Azam aingia rada za Wasauzi

BEKI wa kati wa matajiri wa Dar es Salaam, Azam FC Abdallah Kheri ‘Sebo’ ameingia anga za Wasauzi baada ya kuanza kuwindwa na klabu ya Polokwane City ya Afrika Kusini kwa ajili ya kukitumikia kikosi hicho chenye makao jijini Polokwane katika jimbo la Limpopo.

Read More