Mvua yakata mawasiliano barabara ya Ifakara–Mlimba

Mlimba. Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo huko Mlimba imesababisha kukatika kwa barabara ya Ifakara–Mlimba kwenye maeneo mawili, hivyo kukata mawasiliano wilayani humo. Barabara hiyo imekatika kwenye eneo la Kijiji cha Ngwasi na Kalengakelu, Halmashauri ya Mlimba, na kwamba mvua kubwa inayoendelea kunyesha wilayani humo imesababisha maeneo mengi kuharibika. Akizungumza na Mwananchi, Diwani wa…

Read More

Alichozungumza Papa Leo XIV na Zelensky

Vatican. Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Leo XIV amefanya mazungumzo ya simu na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ikiwa ni simu ya kwanza kuzungumza na kiongozi wa kitaifa tangu achaguliwe katika wadhifa huo. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo Jumatatu Mei 12, 2025, Papa Leo na Zelensky wamezungumzia mapendekezo ya usitishaji mapigano na malumbano kati…

Read More

Mangi Marealle akimbilia Mahakama Kuu

Moshi. Mfanyabiashara mashuhuri na Mangi wa Wachaga wa Marangu mkoani Kilimanjaro, Frank Marealle ameanzisha mchakato wa rufaa kupinga hukumu ya Baraza la Ardhi na Nyumba Moshi, lililokataa maombi yake aliyoyafungua mwaka 2020. Marealle aliomba Baraza litoe amri kwamba ardhi yenye mgogoro ni mali yake na ya kufukuliwa kwa kaburi na kuondoa jeneza lenye mwili wa…

Read More

Fursa mpya, vilio mgawanyo wa majimbo

Dar es Salaam. Utamu na uchungu, ndiyo maneno mafupi yanayoakisi kilichoelezwa na wadau wa siasa kuhusu matokeo ya uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kugawanya majimbo. Mgawanyo huo umesababisha kuzaliwa kwa majimbo mapya manane ya uchaguzi na hivyo, kufanya uchaguzi wa baadaye mwaka huu uhusishe jumla ya majimbo 272, Tanzania Bara na…

Read More

Mawaziri wa zamani wa Nishati kutoka Saint Lucia na Uruguay waliitwa Mabingwa wa Nishati Mbadala – Maswala ya Ulimwenguni

Dk James Fletcher (kushoto) na Ramón Méndez Galain (kulia) wakati wa uzinduzi wa mpango wa Mabingwa wa Nishati Mbadala wa Ren21 huko Miami. Mikopo: Alison Kentish/IPS na Alison Kentish (Miami, Florida, USA) Jumatatu, Mei 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Miami, Florida, USA, Mei 12 (IPS) – Mtandao wa sera ya nishati mbadala kwa…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUTOA MAFUNZO KWA WALIMU 70,657 UTEKELEZAJI MITAALA ILIYOBORESHWA, YAANZA MAPITIO SHERIA YA ELIMU

Tarehe 1 Februari 2025 Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alizindua rasmi Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Toleo la 2023 inayolenga kutoa elimu inayozingatia ujuzi kulingana na mahitaji ya soko la ajira na kuchangia katika maendeleo ya Taifa. Serikali imeendelea kutoa mafunzo kwa walimu ikiwemo utekelezaji…

Read More

Wafanyabiashara Iringa wafungua maduka, wananchi wapata ahueni

‎Iringa. Baada ya saa kadhaa za sintofahamu, hatimaye wafanyabiashara katika Mkoa wa Iringa wamefungua maduka yao na wananchi wameanza kupata huduma za manunuzi ya bidhaa mbalimbali, hatua inayowapa ahueni. ‎Akizungumza na Mwananchi Digital Leo Mei 12, 2025, Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara mkoani Iringa, Benito Mtende amesema kuwa wamefanikiwa kuzungumza na Mkuu wa Mkoa wa…

Read More