ETDCO yakabidhi mradi, kuunganisha umeme vitongoji 105

Mbeya. Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO), imekabidhiwa rasmi mradi wa kuunganisha umeme katika vitongoji 105 mkoani Mbeya. Mradi huo wenye thamani ya Sh10.9 bilioni umetekelezwa kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), utanufaisha wateja takriban 3,465. Akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya mradi huo iliyofanyika leo Kata…

Read More

Mzee Msuya anavyokumbukwa kama kiraka cha nyakati ngumu

Dar es Salaam. Umahiri wa uongozi katika nyakati ngumu kiuchumi, ni moja kati ya sifa nyingi zitakazokumbukwa daima katika utumishi wa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (94) kwa nafasi mbalimbali alizohudumu. Kwa mujibu wa viongozi mbalimbali wa Serikali, Mzee Msuya ndiye kiongozi aliyeteuliwa kuiongoza Wizara ya Fedha baada ya…

Read More

BARRICK YAWEZESHA WANAFUNZI MZUMBE KUPATIWA UTAMBUZI WA FURSA KUPITIA KONGAMANO LILILOANDALIWA NA AIESEC

  Afisa Rasilimali Mwandamizi wa Barrick nchini Emmanuel Msacky,akiongea na Wanafunzi katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC Afisa Rasilimali Mwandamizi wa Barrick nchini Emmanuel Msacky,akiongea na Wanafunzi katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC Wanafunzi wakiwa katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC Wanafunzi wakiwa katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC Wanafunzi wakiwa katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC Wafanyakazi wa Barrick…

Read More