Samatta Uefa ndo basi tena, arudi Europa League

KITENDO cha chama la nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, PAOK kushindwa kuingia nafasi mbili za juu kwenye michuano maalumu ya Super League ya Ligi Kuu ya Ugiriki, kimeikosesha tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya na sasa imeangukia Europa League. Samatta alikuwa anasaka nafasi nyingine ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada…

Read More

Matukio ya wizi yaliyotikisa vituo vya polisi

Dar es Salaam. Matukio ya uvunjaji, wizi wa pikipiki na mifugo yanatajwa kuripotiwa zaidi katika vitu vya Polisi kwa miaka miwili mfululizo wa 2023 na 2024, Ripoti ya hali ya uhalifu ya Jeshi la Polisi inaeleza. Kuwapo kwa matukio haya kunatajwa kusababishwa na hali duni ya kiuchumi, ukuaji wa miji, utandawazi, tofauti kubwa ya hali…

Read More

Umewahi kujishtaki kwa mwenza wako?

Je, kuna mtu anayeweza kutenda kosa na kwenda kujiripoti kituo cha polisi au kujishitaki? Katika mazingira ya kawaida, hili haliwezekani. Ukienda kituo cha polisi kujiripoti, hata kama utawekwa ndani au vinginevyo, itachukua muda kwa polisi kukuamini kama siyo kudhani una changamoto za kiakili. Maana, katika hali ya kawaida, hili si jambo la kawaida. Mfano, ukienda…

Read More

Hali ilivyo Karimjee mwili wa Msuya ukiagwa

Dar es Salaam. Mamia ya waombolezaji wamejitokeza kuaga mwili wa aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya. Msuya alifariki dunia Jumatano, Mei 7, 2025  katika Hospitali ya Mzena, Kijitonyama jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu ya moyo, mwili unaagwa leo Jumapili, Mei 11, 2025 kitaifa, utazikwa Jumanne ya…

Read More

SERIKALI KUNUNUA MTAMBO KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

 ::::: Serikali imedhamiria kununua mtambo maalum wa kusafisha ziwa victoria lililoathirika na gugumaji jipya ambalo limekuwa tishio kwa shughuli za uvuvi na usafirishaji kwa wananchi. Hayo yamesemwa Jana Mei 10, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda alipokua akizungumza na Wananchi waliokuwa wakisubiri huduma ya usafiri wa kivuko katika eneo la Kigongo…

Read More

Makalla alivyojitenga na uvumi wa ubunge Morogoro

Morogoro. Ziara ya siku tano ya Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, mkoani Morogoro, imemtosha kujitenga na uvumi kuwa atagombea ubunge katika Jimbo la Mvomero. Hii ni kutokana na kile alichoeleza hana nia ya kugombea ubunge, badala yake mawazo yake yamejikita katika kumsaidia mwenyekiti wa chama hicho, Rais…

Read More