New King yavunja mwiko na kupanda ZPL 

Timu ya New King maarufu ‘Wachoma Mahindi’ imetegua kitendawili kilichokuwa kikiulizwa na wengi kwa miongoni mwa timu zilizopanda daraja na msimu ujao itacheza Ligi Kuu Zanzibar(ZPL). Timu nyingine zilivuka hatua hiyo kwa Kanda ya Pemba ni Wawi na Fufuni zitakazocheza ZPL kwa kwa mara ya kwanza pia.  Wachoma Mahindi wametinga hatua hiyo baada ya kuitandika mabao…

Read More

Njia nane za kumrudi mwenza akikosea

Katika uhusiano wa kimapenzi au ndoa, changamoto na migogoro ni mambo ya kawaida.  Binadamu wote huwa na makosa, na mara nyingine mmoja kati ya wenza anaweza kufanya jambo lisilompendeza mwenzake.  Katika hali kama hizi, baadhi ya watu huamua kutumia adhabu kama njia ya kumkanya mwenza wake ili kuepuka kurudia makosa hayo. Hata hivyo, suala hili…

Read More

Padri Nkwera kuzikwa kituo chake cha maombezi Ubungo Mei 18

Dar es Salaam. Mwili wa Padri Felician Nkwera unatarajiwa kuzikwa Jumamosi Mei 18, 2025 katika kituo chake cha Maombezi kilichopo Ubungo jijini Dar es Salaam. Hayo yamesemwa jana Jumamosi Mei 10, 2025 na mwenyekiti wa huduma za maombezi wa kituo hicho, Deogratias Karulama alipozungumza na Mwananchi kuhusu ratiba za mazishi hayo. Padri Nkwera alifariki dunia…

Read More

Kashfa, kejeli vinapogubika talaka za mastaa

Umewahi kufanyiwa kejeli au kukashifiwa kama sio kutukanwa na mtu mliyekuwa na uhusiano ukiwamo ule wa ndoa? Kama hujawahi, una bahati kwani kuna watu hukumbwa na masaibu,  kiasi cha kujutia muda waliotumia pamoja na wenza wao waliogeuka maadui. Kejeli, kashfa na hata matusi, vimekuwa vikishuhudiwa kwenye mitandao ya kijamii kwa  baadhi ya watu hasa wale…

Read More

Wenje: Nitasimama na Chadema, sina mpango wa kuhama

Geita.  Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria, Ezekiah Wenje amesema hawezi kuhama chama hicho akisisitiza bado anaamini katika nguvu ya chama hicho kuleta mabadiliko ya kweli nchini licha ya sintofahamu iliyoibuka baada ya uchaguzi wa ndani wa chama uliofanyika Januari 21, 2025. Katika uchaguzi huo, Wenje aligombea nafasi ya umakamu mwenyekiti Bara akimuunga mkono,…

Read More

Kisasi cha mtoto kwa mzazi ni matokeo ya maumivu uliyompa

Wazazi wanapaswa kutambua kuwa athari za malezi mabaya hazikomei utotoni, bali huenda zikatawala maisha ya mtoto hata akiwa mtu mzima. Kupitia upendo, uelewa na mawasiliano, tunaweza kuvunja mzunguko wa mateso na kujenga kizazi chenye afya ya mwili na akili. Siku njema huonekana tangu asubuhi, Waswahili ndivyo wasemavyo, msemo ambao pi ulianza kutumika tangu enzi za…

Read More

Hatari teknolojia ya ChatGPT inapoaminika kuliko mzazi

Dar es Salaam. Jioni moja wiki iliyopita nilikuwa Instanbul. Huu ni mgahawa mmoja maarufu jijini Dar es salaam. Hapa nafanya nazungumza na Damari, mwanafunzi wa shahada katika taasisi moja ya elimu ya juu jijini Dar es Salaam. Sikumuuliza umri lakini nakadiria ana miaka 21. Kikao chetu kilizaliwa na kipindi nilichokuwa nimekifanya asubuhi hiyo kwenye kituo…

Read More

Usijaribu kuoa kisa huruma kwa mwanamke

Dar es Salaam. Ukisoma kozi za utengenezaji wa filamu, moja ya misemo ambayo utaisikia mara kwa mara ni ‘prodyuza’ na ‘dairekta’. Hii  ni kama mke na mume, uhusiano wao ni kama  wa kindoa kabisa. ‘Dairekta’ au kwa kiswahili tunaita muongozaji ni mtu mwenye jukumu la usamimizi mkuu wa nyanja zote za kisanii kwenye filamu. Yeye…

Read More

Kanuni za Kibiblia za kupata utajiri

Wapendwa katika Kristo Bwana Yesu asifiwe! Leo tunaangazia somo muhimu na lenye changamoto kwa kila mmoja wetu: Kanuni za Kibiblia za kupata utajiri. Mara nyingi utajiri huonekana kwa jicho la mashaka ndani ya kanisa, lakini Biblia haikatazi utajiri bali inatuonyesha jinsi ya kuupata kwa njia ya haki na jinsi ya kuutumia kwa utukufu wa Mungu….

Read More