Charles Hilary atakumbukwa kwa haya….

Dar es Salaam. Nguli wa tasnia ya habari nchini, Charles Hilary amefariki dunia, huku wadau waliowahi kufanya kazi naye, wakimkumbuka kwa weledi, umahiri wa kitaaluma, ucheshi na sauti yake ya kipekee waliyoifananisha na dhahabu. Rais Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwa walioguswa na msiba huo, akimtaja kuwa nguli aliyekuwa na mchango wa zaidi ya miaka…

Read More

Wacheza kamari walivyopiga mamilioni uchaguzi wa Papa

Dar es Salaam. Uchaguzi wa Papa Leo XIV (Robert Francis Prevost) haukuwa tu tukio la kidini lililofuatiliwa kwa makini na mamilioni ya waumini wa Kanisa Katoliki duniani, bali pia ulibadilika kuwa fursa ya kiuchumi kwa wacheza kamari waliobashiri matokeo yake. Kabla ya Leo XIV, kutangazwa kurithi mikoba ya Papa Francis aliyefariki Aprili 21, 2025, katika…

Read More

Kigogo wa CUF atimkia ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo leo Jumapili Mei 11, 2025 kimempokea, aliyekuwa Katibu Mtendaji Jumuiya ya Vijana, Ofisa Mwandamizi ofisi ya Katibu Mkuu, Msaidizi wa Katibu Mkuu, Mjumbe wa Mkutano Mkuu na baraza kuu, Mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Wananchi (CUF) taifa, Iddy Mkanza. Hayo yanajiri wakati katika uga wa siasa nchini…

Read More

Waongoza watalii mguu sawa kuelekea msimu mpya wa utalii 

Arusha. Wanachama wa umoja wa waongoza watalii nchini (TTGA), wamekutana jijini Arusha kujadili namna ya kuuanza msimu mpya wa utalii unaotarajia kuanza Juni mwaka huu. Wanachama hao ambao wamekutana leo Jumapili Mei 11, 2025, miongoni mwa mambo waliyojadili ni pamoja na changamoto za msimu uliopita na wamewasilisha changamoto zao kwa Waziri wa Maliasili na Utalii,…

Read More

‘Dola sifuri ifikie mwisho Tabora’

Tabora. Wakulima wa tumbaku mkoani Tabora wameelezea malalamiko yao kuhusu bei ya ‘dola sifuri’ katika mauzo ya zao hilo, hali inayowasababishia hasara kubwa.  Wanasema iwapo tumbaku itaendelea kuuzwa kwa Sh800 hadi Sh1,000 kwa kilo moja, wataendelea kupata hasara.Akizungumza leo Mei 11, 2025, wakati wa hafla ya jukwaa la pili la maendeleo ya ushirika mkoani Tabora…

Read More

Anne Makinda akumbuka maisha ya Msuya, mkewe 

Dar es Salaam. Nguvu ya baba nafikiri ilitokana na nguvu ya Mama! Ni kauli ya aliyewahi kuwa Spika wa Bunge, Anne Makinda akiyaelezea maisha ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza Rais, Cleopa Msuya. Makinda ambaye amebainisha kuwahi kuishi jirani na kiongozi huyo na familia yake eneo la Seaview ameyaelezea maisha ya Msuya…

Read More

Balozi Makenga awataka wajasiriamali kujiongeza | Mwananchi

Guangzhou, China. Wakati Serikali ikiendelea kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini, taasisi zake nazo zinatoa ushirikiano kwa sekta binafsi baada ya ubalozi mdogo mjini Guangzhou nchini China pamoja na ofisi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kuwapokea wateja 36 wa Benki ya CRDB waliokwenda kushiriki Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Canton yanayoendelea nchini…

Read More

Chadema bado bundi kaweka Kambi, wengine 80 wajitoa

Dar es Salaam. Safari ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufungasha virago ndani ya chama hicho na kusaka majukwaa mengine ya kufanya siasa zao, imeungwa mkono na kundi lingine la makada 80 wa Mkoa wa kichama wa Temeke jijini Dar es Salaam. Idadi hiyo ya waliotangaza kukihama chama hicho, inafanya jumla ya…

Read More

BALOZI NCHIMBI ATETA NA OTHMAN MASOUD OTHMAN

***** Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza jambo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Mhe. Othman Masoud Othman, walipokutana Viwanja vya Karimjee, jijini Dar Es Salaam, wakati wa utoaji heshima za mwisho, kumuaga Hayati Mzee Cleopa David…

Read More