HAWA NDIYO WALIKUWA MIONGONI MWA MARAFIKI WA CHARLES HILARY

Hawa sasa ndiyo walikuwa marafiki wakubwaa wa Mzee Charles Hilary.  Abou Lyiongo, Ahmed Kipozi kakosekana hapo Jlius Nyaisanga, Majura na Mzee Tido Mhando japo Tido nafikiri alikuwa mkubwa kwao sana na Abou alikuwa mdogo wao.  Wote walianzia RTD kisha wote kwa nyakati tofauti walienda nje watatu BBC, Tido, Charlesna Majura yy aliripoti kutokea Dar.  Kipozi…

Read More

Wizara nne kupambania bajeti zao

Dodoma. Wizara nne zitaingia kwenye mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2025/26, huku utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014, Toleo la mwaka 2023 ukitarajiwa kuteka mjadala wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. Watakaoanza kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara zao kwa wiki inayoanza kesho, Jumatatu,…

Read More

TET YAPANDA MITI KUELEKEA MIAKA 50

::::: Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi ya Elimu Tanzania Prof. Maulid Mwatawala amezindua kampeni ya upandaji miti katika kuelekea Maadhimisho ya Miaka 50 ya TET yanayotarajia kufanyika mwishoni mwa mwezi Juni 2025. Prof. Mwatawala aliongoza zoezi hilo Mei 10, 2025 katika Ofisi za TET Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wajumbe wa Baraza pamoja…

Read More

Majura, Regina wasimulia safari yao na Charles Hilary

Unguja. “Alibarikiwa na kipaji kikubwa cha kutangaza, sauti yake ilikuwa na mvuto kwa kila kipindi, asingeweza kufanya kipindi iwe kwenye michezo au habari za kawaida ukashindwa kufurahia, au ukasikia kipindi kinapwaya,” Hii ni kauli ya mtangazaji mkongwe wa ndani na nje ya Tanzania, Abdallah Majura anaposimulia namna kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais…

Read More

Makada 58 Kilimanjaro waitosa Chadema, wamtaja Ndesamburo 

Moshi. Viongozi na wanachama zaidi ya 58 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, akiwamo Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa, Gervas Mgonja wamejivua uanachama wao kwa madai ya kutoridhishwa na mwenendo wa chama hicho. Viongozi wengine waliojivua ni Katibu wa Bawacha Kanda ya Kaskazini, Rachael Sadick, Mwenyekiti wa Bawacha Mkoa wa Kilimanjaro,…

Read More

MBUNGE NEEMA LUGANGIRA-AKILI MNEMBA INA TIJA NA FURSA NYINGI IKITUMIKA IPASAVYO

Na Mwandishi Wetu,DODOMA MBUNGE wa Viti Maalumu Kupitia Kundi la Asasi za Kiraia Tanzania (NGOs) Neema Lugangira amesema kwamba akili mnemba (artificial intelligence – AI) ina tija na fursa nyingi katika sekta mbalimbali ikiwemo Afya,Kilimo na Elimu na nyenginezo hapa nchini. Aliyasema hayo wakati akizungumza katika Semina ya Akili Mnemba kwa Wabunge Wanawake iliyoandaliwa kwa…

Read More

NAO WAMETIMKA: Viongozi 58 wajivua uanachama Chadema Kilimanjaro, wamkumbuka Ndesamburo 

Moshi. Viongozi  58 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, akiwamo Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa, Gervas Mgonja wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho leo Mei 11, 2025 kwa madai ya kutoridhishwa na mwenendo wa chama hicho. Viongozi wengine waliojivua ni Katibu wa Bawacha Kanda ya Kaskazini, Rachael Sadick, Mwenyekiti wa Bawacha…

Read More

Wanafunzi TUSIIME kufundishwa program za kompyuta kuanzia msingi hadi sekondari

   Na Mwandishi Wetu KATIKA jitihada za kuendana na mtaala mpya wa elimu uliozinduliwa hivi karibuni na Serikali, unaojumuisha Mahili 11 yanayolenga kuendeleza ujuzi na stadi kwa wanafunzi, shule za Tusiime zimechagua program za Kompyuta kama kipaumbele chao. “Tukiwa na dira ya kuandaa wanafunzi kwa maisha ya kesho yanayotawaliwa na teknolojia, hususan katika zama hizi…

Read More